Waafrica wataendelea kuumia sana hadi watakapoamua kubadili mifumo, miundo ya uongozi huu wa( uraisi) kama ndo dhamana ya kuongoza watu umefail miaka 60 sasa ya Uhuru umeshindwa isaidia Africa isonge,zaidi ya viongozi kujinufaisha wao,kuzigeuza nchi ni Mashamba yao,kujinufaisha binafsi, kuwapora waafrica kuficha ulaya, kuwauwa waafrica, kuwateka,kuwafunga,kuwafilisi,waafrica wenzao.
Yatendekayo Africa yanasadikisha maneno ya General Bernard Montgomery ( 1947) "Hakuna mwafrika awezae kumletea maendeleo mwafrika mwenzake, hawa wanataka Uhuru wapeni Lkn hawatofika kokote wataishia kuchinjana, kuuwana,kufilisiana,kutekana ,kufanyiana madhila ya kila namna, kiongozi wa kiafrika amejaa hila asili ya uovu ,ubinafsi, kuabudiwa ndani mwake". Na yote yaliyonenwa ndio yangali hata sasa baada ya Uhuru.