Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Mwanamuziki ambaye pia ni Mwanasiasa, Robert Kyagulanyi maarufu ‘Bobi Wine’ ameshtakiwa akidaiwa kuwa na nia ya kumkera, kumshtua au kumkejeli Rais Yoweri Museveni
Shtaka hilo linahusianishwa na tukio la Agosti 2018 ambapo Bobi Wine alishutumiwa kuongoza maandamano sehemu ambayo gari la Rais Museveni lilipigwa mawe na Waandamanaji
Bobi Wine ambaye ni Mbunge wa Kyadondo Mashariki tayari anakabiliwa na shtaka la uhaini na anaweza kufungwa kifungo cha maisha iwapo atapatikana na hatia
Pamoja na kufunguliwa shtaka la uhaini Agosti 23, 2018 katika Mahakama ya Kijeshi baada ya kushikiliwa kwa muda mrefu huku akiteswa, ameendelea kuikosoa vikali Serikali ya Rais Museveni
Katika hatua nyingine, Mbunge huyo ametangaza pia kuwa atawania Urais wa Uganda dhidi ya Rais Museveni katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2021.
======
Ugandan musician-turned-politician Bobi Wine has been charged with a new count of intending to annoy, alarm or ridicule the president.
This is in connection to the August 2018 incident where he was accused of leading a protest where President Yoweri Museveni’s motorcade was stoned by protesters.
Wine, whose real name is Robert Kyagulanyi, is also facing a charge of treason and could be jailed for life if convicted.
The MP was charged with treason on August 23, 2018 in a military court after days of detention and severe torture.
Despite the brutal encounter with Ugandan government, Bobi Wine remains critical of the Museveni’s administration.
He has since declared his bid to contest for the Presidential seat against Museveni in the 2021 election.
Source: Citizen TV
Shtaka hilo linahusianishwa na tukio la Agosti 2018 ambapo Bobi Wine alishutumiwa kuongoza maandamano sehemu ambayo gari la Rais Museveni lilipigwa mawe na Waandamanaji
Bobi Wine ambaye ni Mbunge wa Kyadondo Mashariki tayari anakabiliwa na shtaka la uhaini na anaweza kufungwa kifungo cha maisha iwapo atapatikana na hatia
Pamoja na kufunguliwa shtaka la uhaini Agosti 23, 2018 katika Mahakama ya Kijeshi baada ya kushikiliwa kwa muda mrefu huku akiteswa, ameendelea kuikosoa vikali Serikali ya Rais Museveni
Katika hatua nyingine, Mbunge huyo ametangaza pia kuwa atawania Urais wa Uganda dhidi ya Rais Museveni katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2021.
======
Ugandan musician-turned-politician Bobi Wine has been charged with a new count of intending to annoy, alarm or ridicule the president.
This is in connection to the August 2018 incident where he was accused of leading a protest where President Yoweri Museveni’s motorcade was stoned by protesters.
Wine, whose real name is Robert Kyagulanyi, is also facing a charge of treason and could be jailed for life if convicted.
The MP was charged with treason on August 23, 2018 in a military court after days of detention and severe torture.
Despite the brutal encounter with Ugandan government, Bobi Wine remains critical of the Museveni’s administration.
He has since declared his bid to contest for the Presidential seat against Museveni in the 2021 election.
Source: Citizen TV