BMW X5

BMW X5

Mkuu mimi sio mteja ila kwa ushauri tu, hiyo bei unayouza haitofautiani sana na bei ya kuaiza hiyo gari Japan, kwa namba C ungeshusha bei.Gharama za kuagiza gari kama hiyo ukilipia kila kitu ni kuanzia Mil 25+
Mkuu ndo Mana nikasema maongezi yapo ,ila fatilia vzr Bei za X5
 
Basi kakudanganya jina lake na kama sio yeye anayeliuza itakua naye alimuuzia mdada vile vile, maana nakwambia hivi kwa sababu hiyo gari nimeshawahi kumpeleka nayo airport akienda zake Guanzou.
Duh hiyo J ndio nakusikia wewe mkuu,kufupi hana hata jina moja lenye herufi j
 
Kutumiwa na Mwanamke ina maana gani, anaendesha sebuleni kwenda chumbani tu.
Hahahahaha kuna mtazamo kuwa wanawake huwa hawako rafu sana kwenye kuendesha gari so to some extent iko vzri kidgo ukilinganisha na ingekuwa inaendeshwa na mbaba
 
Basi kakudanganya jina lake na kama sio yeye anayeliuza itakua naye alimuuzia mdada vile vile, maana nakwambia hivi kwa sababu hiyo gari nimeshawahi kumpeleka nayo airport akienda zake Guanzou.
Ndugu yako wa damu anaweza kukudanganya jina?
 
Naomba namba za huyo mwanamke anaetumia ili nijiridhishe
 
Back
Top Bottom