Car4Sale BMW X5 namba “E” iko sokoni kwa bei sawa na bure

Car4Sale BMW X5 namba “E” iko sokoni kwa bei sawa na bure

Ni marufuku kununua European car iliyozidi miaka 10.
Wengi hawaelewi hilo, kuna jamaa walikuwa wanadili na services za European cars tu nilishuhudia mengi sana. Hizo gari kukufilisi ni kugusa tu, BMW, VW, RANGE, BENZ.
Kuna dada alimsusia fundi Bmw x1, kila baada ya siku chache ni vipengele ila kwa road zipo vizuri.
 
Niliuliza kwa sababu mara nyingi Tanzania ukisikia wanalalamika hili gani halifai kwa sababu ya service mara nyingi unakuta tatizo ni uwezo wa kifedha wa mmiliki. Yaani unataka anataka afanye service za kimagushi tena kwa mafundi wa uchochoroni. Mara nyingi sisi huwa tunadhani gharama ya kumiliki gari ni ile bei ya kununulia bila kujua gharama za uendeshaji pia zipo.
Upo sahihi mkuu, gharama za kumiliki hizi gari ni za kawaida ila kulihudumia ndio mtihani mkubwa kwa wengi. Kuna mtu anataka ajichanganye vibaya sana nimeshamshauri mpaka nimechoka na maisha yake ya kipato kwa kiasi fulani nayajua. Anazipenda sana Bmw na ndio anataka iwe gari yake ya kwanza, acha ajifunze kwa makosa.
 
Wengi hawaelewi hilo, kuna jamaa walikuwa wanadili na services za European cars tu nilishuhudia mengi sana. Hizo gari kukufilisi ni kugusa tu, BMW, VW, RANGE, BENZ.
Kuna dada alimsusia fundi Bmw x1, kila baada ya siku chache ni vipengele ila kwa road zipo vizuri.
Same 2019 naanza miliki BMW niliona jamaa flani anaanza kudeal naizo gari. Jamaa garage local tu. Nikimtaja humu lazima kuna watu washawahi onana nae. Enzi izo ukimuambia gari ina ishu anakuja kwako yeye mwenyewe.

Jamaa imempa utajiri. Sahivi anamiliki garage kubwa sana. Ana team yaani organized kabisa. Ukifika hauonani nae, unaanza reception, kisha wafanyakazi wengine.

Sahivi nimeona tena kwa wanaodeal na Mazda. Nao wanakua matajiri soon.

IMG_8411.jpeg

Nje ya Mada. Ile sedan white ni gari gani?
 
Same 2019 naanza miliki BMW niliona jamaa flani anaanza kudeal naizo gari. Jamaa garage local tu. Nikimtaja humu lazima kuna watu washawahi onana nae. Enzi izo ukimuambia gari ina ishu anakuja kwako yeye mwenyewe.

Jamaa imempa utajiri. Sahivi anamiliki garage kubwa sana. Ana team yaani organized kabisa. Ukifika hauonani nae, unaanza reception, kisha wafanyakazi wengine.

Sahivi nimeona tena kwa wanaodeal na Mazda. Nao wanakua matajiri soon.

View attachment 3480372
Nje ya Mada. Ile sedan white ni gari gani?
Ukisikia siku hizi napush mazda redwine ndio kwa namna hii 😂

Hiyo nadhani ni Audi A4 japo inaonekana kwa taabu sana.
 
Mkuu ndani ya mwezi mmoja gari imeshuka toka milioni 28.8 mpaka milioni 19.8 zaidi ya milioni 9 imepungua? Kuna shida gani? Au bei moja imekosewa?

Haina Shida Ila Mwenye Gari Ndio Mwenye Uhitaji Wa Hela
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom