Mimi ni Mwanasoka , lakini Tangu niingie kwenye Mchezo huu sijawahi kuona
ushirikina na uchawi kama unaofanyika kwenye Uchaguzi wa Chama cha soka cha Temeke.
Hivi ni nani anainjinia Mambo haya?
Hivi uchawi huu unaofanyika utalipwa na nini , kwanini Temeke inatia aibu namna hii wakati haina hata timu moja ya soka Ligi kuu?
Tunaishukuru BMT kwa kusimamisha uchaguzi wa kichawi .
View attachment 2786830