Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Dad! Daaad!
Nimeenda kwa daktari nikaambiwa bluu tusi ina shida natakiwa shs 20000/= irekebishwe
halafu daaaaaad nimepoteza fesibuku ya shule nadaiwa huku!
Aaafu nilisahau wayalesi yangu ikanyeshewa nahitaji kununua nyingine nk! Nk!
Zamani tulikuwa tunapoteza physics, test tube!
Wewe ulipoteza nini?
Nimeenda kwa daktari nikaambiwa bluu tusi ina shida natakiwa shs 20000/= irekebishwe
halafu daaaaaad nimepoteza fesibuku ya shule nadaiwa huku!
Aaafu nilisahau wayalesi yangu ikanyeshewa nahitaji kununua nyingine nk! Nk!
Zamani tulikuwa tunapoteza physics, test tube!
Wewe ulipoteza nini?