white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,278
hatimaye dk za lala salama blackburn amekubali kuipa manutd point 3 muhimu!game lilikuwa gumu sana,vijana wa ot,leo hawakuwa mchezoni kabisa!hadi dk 81 antonio valencia akaipatia bao la kuongoza,huyu ndio jembe la man u kwa sasa,kabla ya young kutia ki2 cha pili dk 86, hili gap la point 5 na man city cjui.!naomba washika bunduki j2 msituangushe komaeni.