Blackberry Classic (Q20) inauzwa.

Blackberry Classic (Q20) inauzwa.

nerilan

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2013
Posts
469
Reaction score
713
Habari ya jioni wakuu. Nauza BlackBerry Classic ikiwa kwenye condition nzuri, ina chaja yake pia na battery inatunza chaji kwa muda mrefu hata ukuwa unatumia 4G kwa ajili ya data

Kwa watakao hitaji tafadhali nicheki PM, bei naanzia 330,000/=. Maelewano yapo, niko Arusha kwa sasa.

20170709_193842.jpg
20170709_193932.jpg
20170709_193920.jpg
20170709_194001.jpg
 
Inakaa na charge siku nzima ukiwa unaitumia mda mrefu na bila kutoa 4g

Sent from my HUAWEI VNS-L21 using JamiiForums mobile app
 
Inakaa na charge siku nzima ukiwa unaitumia mda mrefu na bila kutoa 4g

Sent from my HUAWEI VNS-L21 using JamiiForums mobile app
Siku nzima haiwezi maliza ikiwa kwenye 4G mkuu.
 
Inakaa na charge siku nzima ukiwa unaitumia mda mrefu na bila kutoa 4g

Sent from my HUAWEI VNS-L21 using JamiiForums mobile app
Pia iko updated mkuu. Ina run BlackBerry 10.3.2
 
Na whatsup ndio mwisho.. dah

Sent from my HUAWEI VNS-L21 using JamiiForums mobile app
 
waambie wateja ukweli BlackBerry 10 smart phone watsup mwisho mwaka huuu...

google for more info... hao watsup wenyewe wanasema hivyo....
 
waambie wateja ukweli BlackBerry 10 smart phone watsup mwisho mwaka huuu...

google for more info... hao watsup wenyewe wanasema hivyo....
Mimi bado natumia whatsap kwa Q10 yangu!ila inaniambia huduma hiyo haipatikani kwa simu yangu,naweka Ok kisha naendelea kama kawa.
 
Back
Top Bottom