Nguvu ya Biashara ya Forex, Ujasusi na yaliyo nyuma ya pazia

mkuu FRANCIS DA DON shida ni kuwa mtu anaposikia kamari anajua ni kubeti mpira au matokeo ya mpira tu-hajui kuwa kuna kamali aina tofautitofauti duniani
kitu chochote ambacho huna uhakika kama kitatokea au hakita tokea ni kamari
Unapofanya biashara unakuwa na uhakika wa 100% kupata faida. Kama inapungua hata asilimia 0.1 hapo. Basi hiyo ni probability. Na according to definition yako ya kamari basi biashara zooote unazijua hapa duniani ni kamari sababu zinainvolve chances....
 
mkuu FRANCIS DA DON shida ni kuwa mtu anaposikia kamari anajua ni kubeti mpira au matokeo ya mpira tu-hajui kuwa kuna kamali aina tofautitofauti duniani
kitu chochote ambacho huna uhakika kama kitatokea au hakita tokea ni kamari
Ni kweli mkuu, unabusara sana!

Hata wakulima wanapolima wakisubiri mvua ambayo inaweza kunyesha au isinyeshe pia wanacheza kamari.

Na hawa wanaotengeneza bidhaa mbali mbali ambazo hawana uhakika kama zitanunuliwa au hazitanunuliwa pia wanacheza kamari.

Bila kusahau maombi tunayoomba kanisani na misikitini bila kujua Mungu amepanga nini pia ni kamari.

You are very smart!

 
Kama kila kitu kinachoinvolve probability duniani ni kamari, basi hakuna biashara ambayo itasalimika. Katika naomba usijitoe akili. Unless kama unaongelea probability and probability yenyewe ukawa huijui....
An inherent property ya kamari ni kwamba hakuna uzalishaji mali/ huduma; biashara zingine zina hiyo probability, lakini zinazalisha mali/ huduma in the process ya kupata hiyo faida/ hasara.
 
Unapofanya biashara unakuwa na uhakika wa 100% kupata faida. Kama inapungua hata asilimia 0.1 hapo. Basi hiyo ni probability. Na according to definition yako ya kamari basi biashara zooote unazijua hapa duniani ni kamari sababu zinainvolve chances....
HAPANA! Kamari haina uzalishaji mali/ huduma, biashara zote zina faida / hasara, lakini huwa zina uzalishaji mali/ huduma.
 
Ni kweli mkuu, unabusara sana!

Hata wakulima wanapolima wakisubiri mvua ambayo inaweza kunyesha au isinyeshe pia wanacheza kamari.

Na hawa wanaotengeneza bidhaa mbali mbali ambazo hawana uhakika kama zitanunuliwa au hazitanunuliwa pia wanacheza kamari.

Bila kusahau maombi tunayoomba kanisani na misikitini bila kujua Mungu amepanga nini pia ni kamari.

You are very smart!

HAPANA! Kamari haina uzalishaji mali/ huduma, biashara zote zina faida / hasara, lakini zinazalisha mali/ huduma in the process ya kupata hiyo faida/ hasara.
 
Foreign exchange ya kucheza kama game kwenye pc?
Yes, with technology nothing is impossible.

Hata Nyerere akiamka Leo akakuta tunarushiana pesa kwa simu (M-PESA, Tigo pesa), lazima ashangae!

So, inategemea either uko updated to go with the technological advancements, or be outdated and become a hater!

But I don't expect you to understand this!
 
Yes, with technology nothing is impossible.

Hata Nyerere akiamka Leo akakuta tunarushiana pesa kwa simu (M-PESA, Tigo pesa), lazima ashangae!

So, inategemea either uko updated to go with the technological advancements, or be outdated and become a hater!

But I don't expect you to understand this!
Burea de change hutoa huduma ya kubadilisha pesa, hunua kwa bei ya chini na kuuza kwa bei ya faida..., hiyo mnayofanya si huduma, ni ulaghai mtupu. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayetaka huduma ya kubadili dollar to shillings ataenda kucheza forex badala ya bureau de change, unless anataka kucheza kamari.
 
Kama kila kitu kinachoinvolve probability duniani ni kamari, basi hakuna biashara ambayo itasalimika. Katika naomba usijitoe akili. Unless kama unaongelea probability and probability yenyewe ukawa huijui....
Na pia mke anapokuwa mjamzito ni kamari maana hujui kama atazaliwa mume au mke, salama au atakuwa mfu., ana ulemavu au hana ulemavu n.k
 
Unapofanya biashara unakuwa na uhakika wa 100% kupata faida. Kama inapungua hata asilimia 0.1 hapo. Basi hiyo ni probability. Na according to definition yako ya kamari basi biashara zooote unazijua hapa duniani ni kamari sababu zinainvolve chances....
Ni sawa tu, maana demand and supply hazitabiliki, zaidi ni continuing processes.

Mfano una mtaji wa mil 5, ukaamua kutumia supply kuwa juu ukanunua mahindi yako kwa kila gunia 100,000/-. Matarajio yako, demand itakuwa kubwa baada ya miezi mitatu hivyo gunia litakuwa 150,000/-. Matarajio yako ni kuwa na faida nusu mtaji yaani utavna 2.5 milion ndani ya miezi mitatu.

Sasa unanunua, unatibu mahindi yako, unakaa chonjo bei ifike pale unapo hitaji. Badala yake, bei inashuka maradufu, hadi inafikia gunia moja 40,000, na msimu mpya wa mavuno umeingia kwa maana kwamba inaweza fika 25,000/- kwa gunia. Unaamua basi uuze kwa 40,000/- tu japo uokoe hiyo hela lkn ukiuza hapo badala ya mil 5, utaambulia mil 2 tu.

Maswali.

1. Je, biashara hiyo imekuwa kamali?
2. Bodi ya bahati nasibu, wanaitambua?

Hivyo ndivyo forex inafanya kazi.

Una dola zako 50.

Unaingiza dola hiyo kwenye biashara kwa kununua pair fulani au kuuza pair fulani. Iwapo wateja wakiwa wengi upande wa kununua, unapata faida wakati yule aliyeamua kuuza akipata hasara and vice versa.

Mfano nina dola 25 zangu, nimeangalia pair fulani inapanda juu yaani thaman ya pesa hiyo inashuka, nikanunu. Ndani ya masaa manne tu, nimetengeneza usd 3.7, usiku huu huu.

cafedc47ce44cdaf775f8926fa72cc0b.jpg


Waliochagua kuuza yaani sell, wako kwenye magumu maana soko haliko upande wao, na walikosea kuchambua hali ya soko.

Je, hapo bahati nasibu ipo?

Aisee, hela zangu mwenyewe, we zinakuuma nini mie nikizitumia nipendavyo? Sina demu, sinywi pombe, kwa nini nisizitumie kujaribu kitu ambacho kitanipa matokeo?

Huu ni mwanzo, subiri nifikishe mtaji wa dola 500 hivi, kwa mtaji huo kwa usiku huu ningekuwa na faida ya dola 200 hivu sawa na laki nne na vishilingi kadhaa.

Tuheshimiane wakuu
 
Burea de change hutoa huduma ya kubadilisha pesa, hunua kwa bei ya chini na kuuza kwa bei ya faida..., hiyo mnayofanya si huduma, ni ulaghai mtupu. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayetaka huduma ya kubadili dollar to shillings ataenda kucheza forex badala ya bureau de change, unless anataka kucheza kamari.
Hakuna hiyo pair kwanza, bora hata wakenya wanaweza jaribu kuinhiza sh yao. Maana south wanayo na inawapa watu hela.

Pair za forex to mention few
Screenshot_20180105-070405.png


Screenshot_20180105-070427.png
 
Burea de change hutoa huduma ya kubadilisha pesa, hunua kwa bei ya chini na kuuza kwa bei ya faida..., hiyo mnayofanya si huduma, ni ulaghai mtupu. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayetaka huduma ya kubadili dollar to shillings ataenda kucheza forex badala ya bureau de change, unless anataka kucheza kamari.
Tofauti yetu sisi na wale wa Bureau de change ni nini? Hata wale wanafanya FOREX, tofauti yetu sisi na wale ni means inayotumika kuconduct trade zetu. Wao wanafanya manually na sisi tunafanya electronically. Yaani wakati technology inakuwa duniani nyie watu wachache mnataka kuturudisha tuishi maiaha ya miaka ya 1900 huko. Km huujui mzunguko wa hela ulivokaa katika forex usiite kamari.
 
Burea de change hutoa huduma ya kubadilisha pesa, hunua kwa bei ya chini na kuuza kwa bei ya faida..., hiyo mnayofanya si huduma, ni ulaghai mtupu. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayetaka huduma ya kubadili dollar to shillings ataenda kucheza forex badala ya bureau de change, unless anataka kucheza kamari.
Unaongelea FOREX na Bureau de change, halafu katikati unaweka boundary. Unakijua unachokiongea ww? Kwa hiyo bureau de change hawafanyi foreign exchange? Aisee I can see now, forex things are beyond the scope of your level.
 
jamani msimbishie francis da don huyo ana akili sana na amegundua pasipo shaka kuwa forex trading ni Kamari. yaani jamaa ni kichwa hatari. msiwe mnambishia anajua mambo huyo mweshimiwa kupita maelezo. IQ yake ni hatari

big down francis da don
 
Unaongelea FOREX na Bureau de change, halafu katikati unaweka boundary. Unakijua unachokiongea ww? Kwa hiyo bureau de change hawafanyi foreign exchange? Aisee I can see now, forex things are beyond the scope of your level.
Acha kutumia tigo kufikiri. Wateja hutumia huduma za bureau de change kwa lengo la kubadili fedha ya aina moja kuwa fedha ya aina nyingine ili aweze kuitumia katika mazingira yake, mfano, mtu ana dollar ya kimarekani na anahitaji shillingi ya kiTz ili aweze kuitumia nchini, lakini watu wanaocheza Forex hawaitumii kwa lengo la kubadili fedha ili aitumie katika mazingira yake, bali anaibadili kwa lengo la kucheza kamari, yaani unakuta mtu yupo mbagala kwa mkaanga sumu lakini ananunua Japanese Yen ambayo wala hana kazi nayo katika mazingira yake, akisubiri ipande bei ale au ishuke bei aliwe, kamari tupu!
 
Ni sawa tu, maana demand and supply hazitabiliki, zaidi ni continuing processes.

Mfano una mtaji wa mil 5, ukaamua kutumia supply kuwa juu ukanunua mahindi yako kwa kila gunia 100,000/-. Matarajio yako, demand itakuwa kubwa baada ya miezi mitatu hivyo gunia litakuwa 150,000/-. Matarajio yako ni kuwa na faida nusu mtaji yaani utavna 2.5 milion ndani ya miezi mitatu.

Sasa unanunua, unatibu mahindi yako, unakaa chonjo bei ifike pale unapo hitaji. Badala yake, bei inashuka maradufu, hadi inafikia gunia moja 40,000, na msimu mpya wa mavuno umeingia kwa maana kwamba inaweza fika 25,000/- kwa gunia. Unaamua basi uuze kwa 40,000/- tu japo uokoe hiyo hela lkn ukiuza hapo badala ya mil 5, utaambulia mil 2 tu.

Maswali.

1. Je, biashara hiyo imekuwa kamali?
2. Bodi ya bahati nasibu, wanaitambua?

Hivyo ndivyo forex inafanya kazi.

Una dola zako 50.

Unaingiza dola hiyo kwenye biashara kwa kununua pair fulani au kuuza pair fulani. Iwapo wateja wakiwa wengi upande wa kununua, unapata faida wakati yule aliyeamua kuuza akipata hasara and vice versa.

Mfano nina dola 25 zangu, nimeangalia pair fulani inapanda juu yaani thaman ya pesa hiyo inashuka, nikanunu. Ndani ya masaa manne tu, nimetengeneza usd 3.7, usiku huu huu.

cafedc47ce44cdaf775f8926fa72cc0b.jpg


Waliochagua kuuza yaani sell, wako kwenye magumu maana soko haliko upande wao, na walikosea kuchambua hali ya soko.

Je, hapo bahati nasibu ipo?

Aisee, hela zangu mwenyewe, we zinakuuma nini mie nikizitumia nipendavyo? Sina demu, sinywi pombe, kwa nini nisizitumie kujaribu kitu ambacho kitanipa matokeo?

Huu ni mwanzo, subiri nifikishe mtaji wa dola 500 hivi, kwa mtaji huo kwa usiku huu ningekuwa na faida ya dola 200 hivu sawa na laki nne na vishilingi kadhaa.

Tuheshimiane wakuu
Kamari haina uzalishaji mali/ huduma, biashara zote zina faida na hasara lakini zinazalisha mali/ huduma in the process, kamari haina uzalishaji mali/ huduma! Hivyo biashara ya mahindi unayoitolea mfano si kamari kwa sababu inazalosha mali/ huduma, hata kama atapata hasara!
 
Back
Top Bottom