wende
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 714
- 66
Salaam kwa wana JF wote!
Nimekuwa na Samsung Digital Camera (ES70/Es71) kwa miaka miwili sasa. Juzi kuna my friend aliiazima ili akaitumie,nilimpa kwa nia nzuri tu. Cha ajabu ile kunirudishia nimeikuta Screen ya Camera ina madoa ya mviringo matatu meusi (black/dark spots) na nimemwuliza kulikoni?? Jamaa ananiambia naye anashangaa kusikia tarifa kama hiyo....in short ameniruka kabisa,si unajua wabongo??
Dokezo: Picha zinatoka vizuri tu!
Maswali yangu: Madoa haya yanatokana na nini? Je nitayaondoaje?
Yaani display ya hii camera imekuwa haipendezi sababu madoa haya ndo yanayotawala almost 1third ya the whole screen!
Nawasilisha.
Nimekuwa na Samsung Digital Camera (ES70/Es71) kwa miaka miwili sasa. Juzi kuna my friend aliiazima ili akaitumie,nilimpa kwa nia nzuri tu. Cha ajabu ile kunirudishia nimeikuta Screen ya Camera ina madoa ya mviringo matatu meusi (black/dark spots) na nimemwuliza kulikoni?? Jamaa ananiambia naye anashangaa kusikia tarifa kama hiyo....in short ameniruka kabisa,si unajua wabongo??
Dokezo: Picha zinatoka vizuri tu!
Maswali yangu: Madoa haya yanatokana na nini? Je nitayaondoaje?
Yaani display ya hii camera imekuwa haipendezi sababu madoa haya ndo yanayotawala almost 1third ya the whole screen!
Nawasilisha.