Hello brothers and sisters
Nahitaji msaada wenu, katika process za application ya HESLB, nilihitajika kuwa na Birth verification no, so nikaaply RITA, leo ni siku ya 4 bado kimya, nilitegemea birth verification number kuiona hapo kwenye application code. Je, huwa inachukua muda gani kupata hiyo number? au je kuna namna nyingine ya kuipata hiyo number?
Msaada wenu