Biomedical engineering diploma

Menyu Nix

Member
Joined
Jul 9, 2022
Posts
33
Reaction score
10
Tafadhali! naomba ushauri juu ya kusoma diploma kozi ya Biomedical engeering.nimemaliza kidato cha sita PCM nimepata DEE Degree nadhani nafasi ipo kwa upande wa education tu! nami huko sitaki.
Nahitaji kusoma kozi hii(BIOMEDICAL ENGINEERING) but sijajua kuhusu ajira ipo kwa upande wa Diploma au vipi ?
Msaada wa maelezo yake Please

au ushauri...!
 
Mkuu ukiwa unasoma achana na swala la ajira Soma kile kitu unachovutiwa nacho zaidi utanishukuru baadae
 
Ingawa ajira zake ni ngumu hizi kozi ndio zenye maisha law,ba,public administration,finace,economics,accounting.

Ila ukitoboa kwenye hizo kozi umetoboa kweli.

Achan na hizo kozi za daraja la chini la wafanyakazi...soma kozi za daraja la juu la watawala ukale maisha.

Pia chagua kozi itakayo kupa nafasi ya kujiajiri pia mana kitaa ni kigumu balaa.

#MaendeleoHayanaChama
 
But Diploma ipo Bomba ama ajira ndo hadi ujiajir???
 
Mkuu ukiwa unasoma achana na swala la ajira Soma kile kitu unachovutiwa nacho zaidi utanishukuru baadae
Nimekupata! But nilikua namawazo mawili ya kwenda kusoma au nisiende nifanye biashara Ila nikawa na wazo niulize kwanza !
Hata hivyo naona miaka Mitatu ni Mingi kusoma hafu ajira ikawa nouma ingawaje ajira Serikalini sipendelei sanaaa...but niliamini labda ukisoma kozi hizi ajira Fasta Fasta!!!

Mana kunarafiki angu alinambia hii kozi huwa watu hawaachwi
nikaona siyo mbaya kuuliza!!!
 
kasome Dental utakuja kinishukuru baadae mkuu
Oyaah! unazungumzia CLINICAL DENTISTRY.
KAM collage wanatoa Pia
Mbeya Health science and ...
pia Iringa....
But sijaijua Ipoje kwa ishu ya kujiajiri ama kuajiriwa...!!!
 
2yrs imepotea bureee, aseeeh poleee sanaa.

PCM walau hata ungepata DDD. Ulikua unacheza sanaa eeeh?
Au ufaulu wako wa CSEE ulikua wa mchongo? Nawee ukayavagaa tyuuh 1 kwa 1 Advance,


Woiiiiiiiiih
 
hahahaha!!! No problem! O level nifanya vizuri one ya 9 nashanga Advance nimeenda kuwa bridge kwa wengine!!!
Hata hivyo sina namna kubaki na business ama au kwenda diploma!!
Just kulost time tu
 
ooooh!!! hapo sawa Nimekupata Asante be blessed!!!
Nimechukua ushauri wako
!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…