babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,110
- 16,006
miaka mingi sana iliyopita sina simu wala sanduku la barua,kuna kabinti nilikutana nako na kikawa nakachovya chovya,nafkiri kalikua katoto ka mpinzani mmoja che mponda kakiitwa mbesile.
basi bana enzi hizo hakuna mobile wala nini ni mwendo wa pio box,mi nimekolea mamaake mdogo akashtukia mchezo akakapiga transfer karudi kwao,tunakaa tmk miaka hiyo kota na mimi naokota tu kalikua kota ya jirani,
katika miadi ikawa usijali njoo moro unifate baba angu mshua utakula bata na bwalaalabwala.
mzee siku ya siku nikala islam huyooo mpaka moro,hamna simu hapo tumeongea kwa barua nafika stendi hola nikasubiri masaa kama matano hivi nimuone hola.
mwisho njaa ikaniuma nikaona nitafute msosi then nirudi tu dar na basi la mwisho.
bana pale stendi pembeni kulikua na kijihoteli fulani hivi cha waburushi nilikula wali nyama nikaletewa maharage kama kionjo to tu.
Yale maharage ndio yalionifanya nikaandika uzi huu,wale jamaa kama bado wapo wapeni salamu zangu,bado natafuta ile ladha ya maharage yao sijawahi pata yalikua matamu sana.
Mbesile mponda atakua ashakua kabibi sasa mi nadunda tu.
basi bana enzi hizo hakuna mobile wala nini ni mwendo wa pio box,mi nimekolea mamaake mdogo akashtukia mchezo akakapiga transfer karudi kwao,tunakaa tmk miaka hiyo kota na mimi naokota tu kalikua kota ya jirani,
katika miadi ikawa usijali njoo moro unifate baba angu mshua utakula bata na bwalaalabwala.
mzee siku ya siku nikala islam huyooo mpaka moro,hamna simu hapo tumeongea kwa barua nafika stendi hola nikasubiri masaa kama matano hivi nimuone hola.
mwisho njaa ikaniuma nikaona nitafute msosi then nirudi tu dar na basi la mwisho.
bana pale stendi pembeni kulikua na kijihoteli fulani hivi cha waburushi nilikula wali nyama nikaletewa maharage kama kionjo to tu.
Yale maharage ndio yalionifanya nikaandika uzi huu,wale jamaa kama bado wapo wapeni salamu zangu,bado natafuta ile ladha ya maharage yao sijawahi pata yalikua matamu sana.
Mbesile mponda atakua ashakua kabibi sasa mi nadunda tu.