Binti mwanasheria anapatikana

Binti mwanasheria anapatikana

Joined
Mar 18, 2015
Posts
51
Reaction score
0
Mwanangu sasa amemaliza shahada ya kwanza ya sharia katika Chuo cha SAUT Mwanza. Kwa yeyote mwenye kuhitaji mwanasheria anipiige moja kwa moja namba 0764 601903.

Yuko tayari kufanya kazi ya sharia popote Tanzania.

KARIBUNI!
 
Mmmh...
Navojua mimi,kuwa mwanasheria ni lazima uende shule ya sheria (law school) pale nyuma ya mawasiliano,halafu ufaulu,uithinishwe na wenyewe halafu upewe muhuri...
Hapo utakua mwanasheria.kwa hapo alipo..naomba abadilishe jina la kujiita mwanasheria,maana waajili wanaweza wakampiga chini kwa kuwa bado hajajitambua kama yeye ni mwanasheria au la....
Ni maoni tu!
 
Mmmh...
Navojua mimi,kuwa mwanasheria ni lazima uende shule ya sheria (law school) pale nyuma ya mawasiliano,halafu ufaulu,uithinishwe na wenyewe halafu upewe muhuri...
Hapo utakua mwanasheria.kwa hapo alipo..naomba abadilishe jina la kujiita mwanasheria,maana waajili wanaweza wakampiga chini kwa kuwa bado hajajitambua kama yeye ni mwanasheria au la....
Ni maoni tu!

Mkuu,huyo tayari ni Mwanasheria kwakuwa ana shahada ya kwanza ya sheria. Law School hufunza wanaohitaji kuwa Mawakili. Mawakili wote ni wanasheria lakini si wanasheria wote ni mawakili.
 
Kazi ngumu kweli wanasheria wanafundisha secondari, wengine wako ktk taasisi za fedha, ajiamdae kisaikolojia kufanya kazi yyte, akisubiri uanasheria atachina nyumbani, maana hizo degr ziko kibao afu low quality
 
Mwanangu sasa amemaliza shahada ya kwanza ya sharia katika Chuo cha SAUT Mwanza. Kwa yeyote mwenye kuhitaji mwanasheria anipiige moja kwa moja namba 0764 601903.

Yuko tayari kufanya kazi ya sharia popote Tanzania.

KARIBUNI!

Nipe namba yake yeye mwenyewe inbox
 
Back
Top Bottom