Binti mmoja katia doa ndoa yangu

Haya maisha hayatabiriki.nahc jamaa hajapenda kutoka nje ya ndoa.lazma kuna kitu fulan kinakosekana ktk ndoa yake.coz kuna wanawake wavivu sana kwenye sex.sasa km mwanaume ambaye damu inachemka utafanya nn.km mim natafuta mchepuko Mkw wangu mvivu sana kwenye sex
 
Kama siyo tabia yake ya kuchepuka aachena naye mara moja...maana hamna siri chini ya jua....siku akimtegeshea ujauzito itakuwa shida zaid

Absolutely brada koz kuchepuka nako kuna formula ukiwa huna uta aibka mtaani...?
 
hzo mali kodi ya hiyo nyumba.vinalingana na mshahara wake.me naisi iko siku mwenye mke akirudi lazima wakugegede.
 

Umeona huyu jamaa alivyo na fix
 
Vijana wa dar mabwabwa kweli asipotaja mikocheni na msasani story haijakamilika.fanya kazi acha story za kipumbavu
 
Duhh
1. Do la ndoa umelitia mwenyewe
2. Umekutana naye mgahawahi
3. Ukapiga sound
4. Akakukaribisha home
5. Ukakubali kwenda
6. Ukampiga sound mkeo
7. Ukaenda kwake
8. Ukaambiwa mdogo wake na housegirl wake hawapo
9. Ukatengenezewa mazingira ya kusex
10. Ukayakubali mazingira hayo
11. Ukasex
12. Mpaka leo UNASIFIA SEX ULIYOPEWA
13. KIUKWELI UNATAKA TENA

Katika mfurulizo huo hapo juu point ya 11 usingeifikia kama ungeikataa sehemu ya mfurulizo. Ni kweli ana nafasi yake kwenye kulaumiwa lakini wewe una sehemu kubwa ya lawama hizo.

Che kufanya

1. Usirudia tena kukaa kwenye mazingira ya kisex na yeye
2. Usimweleze mkeo na ukomeshe kabisa mahusianio naye
3. Kama una nia ya kuacha kusex naye, badili mgahawa...

 

nitakuja na jina lake soon,,,,!
 

hapa kamtaja kabisa huyo binti.......bora angetaka jina mana kwa waishio maeneo hayo washamjua hyo dada......ushamba tu kumchoresha mtu
 
mpe cheo shemeji tu hakuna namna umeshaonja asali tayari huwezi kuacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…