April26
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 1,403
- 2,118
Wakuu nawasalimu kwa masikitiko makubwa naomba mnionee huruma. Show ilianza hivi ngoja nifute machozi kwanza yaani kuna demu nilikuwa namfukuzia muda sana. Bahati nzuri juzi akanipa matumaini yaani ikatiki vema yani very good kama zile tulipewa nyakati za primary.
Sasa kimbwanga bhana kimetokea leo mida ya saa 4 za asubuhi wakati nakutana nae nikiwa naenda zangu job, mtoko wa leo umenichawia. Yani shati nililovaa leo limeniwekea kauzibe, kwanza alivoniaona akashtuka sura ikasinyaa kama kasikia harufu mbaya, nikajikenulisha meno kumchekea wakati sijajua ninevaa mchawi, kabla ya salamu akanambia kumbe una mwingine hadi umeshona nae nguo (vitenge)
Daaahh nimejaribu kumwelewesha lakini wapi. Nikasepa zangu job bila amani. Nishapiga sana simu hazipokelewi wakuu.
Mtoto mbichi kanimwaga kisa shati la kitenge. Hivi ni kosa langu au katafuta sababu?
Sasa kimbwanga bhana kimetokea leo mida ya saa 4 za asubuhi wakati nakutana nae nikiwa naenda zangu job, mtoko wa leo umenichawia. Yani shati nililovaa leo limeniwekea kauzibe, kwanza alivoniaona akashtuka sura ikasinyaa kama kasikia harufu mbaya, nikajikenulisha meno kumchekea wakati sijajua ninevaa mchawi, kabla ya salamu akanambia kumbe una mwingine hadi umeshona nae nguo (vitenge)
Daaahh nimejaribu kumwelewesha lakini wapi. Nikasepa zangu job bila amani. Nishapiga sana simu hazipokelewi wakuu.
Mtoto mbichi kanimwaga kisa shati la kitenge. Hivi ni kosa langu au katafuta sababu?