Binti bubu anatafutwa

Binti bubu anatafutwa

evangelical

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
5,970
Reaction score
9,900
Kuna jamaa yangu kaniomba nimuulizie huku.
Anatafuta binti bubu, hata akiwa kiziwi sio mbaya.
Miaka isizidi 25, asiwe mfupi wala sio mrefu sana,
Anamtafutia ndugu yake aliyepo hivyo kwa ajili ya ndoa.
Nawasilisha
 
patandi chuo cha walemavu kipo Arusha nadhani hapo atapata msaada wa anachokitaka. aende Arusha aulizie chuo cha patandi kilipo. strategy na networking zitaanzia hapo
 
Kuna jamaa yangu kaniomba nimuulizie huku.
Anatafuta binti bubu, hata akiwa kiziwi sio mbaya.
Miaka isizidi 25, asiwe mfupi wala sio mrefu sana,
Anamtafutia ndugu yake aliyepo hivyo kwa ajili ya ndoa.
Nawasilisha

Sasa BUBU kwa BUBU si hatari na waweza kujikuta wanapata watoto bubu pia??? Huyu amtafutie mwanamke anayeweza kusikia na kuzungumza kawaida tuuu
 
Iv kwann unapenda kujiundermine mwenyewe? Kwan hajaona wasokua na ulemavu watakaomkubal kwa hali yake et ataka bubu mwenzie,booo najikuta nmekasirika et,aaargh
 
patandi chuo cha walemavu kipo Arusha nadhani hapo atapata msaada wa anachokitaka. aende Arusha aulizie chuo cha patandi kilipo. strategy na networking zitaanzia hapo
Shukrani kwa information, nitamwakilishia.
Ubarikiwe sana.
 
Hivi ukikutana nae njiani au kwenye gari halafu huna linki yoyote ile ghafla bin vu, utaanzaje kurusha kete zako, make najua wanakuaga na hasira na hawataki dharau
 
Back
Top Bottom