Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,651
Closed
Mkuu maisha yanafurahisha sana
Sawa mkuuAisee! Tuendelee kujikinga na Corona
Sent using kidole gumba
kweli mkuu,ngoja hii korona ipite nianze kumtafutaMkuu ndugu ni yule uliezaliwa nae tumbo moja tu, Kama binam analika inakuaje kwa huyo ndugu wa mbali
Sent using Gun Trigger
ha ha ha ha ni kweli mkuu,kuachia utamu kirahisi wakati tunaishi mara moja na kufa mara moja,haiwezekani.Naunga mkono hoja na atafutwe popote alipo na apatikane na ikibidi namba nipewe na msako uanze leo hii hii hakuna kulaza damu.. ngoja nimalizie kujifukiza hi nyungu ya mwisho msako uanze..
Ukimpata mkuu ukimaliza haja zako usisite kunitumia namba yake!.. maana ktk simulizi yako kuna mahali nimesoma mpaka kibamia changu kikashtuka kikatamka "TOBA"ha ha ha ha ni kweli mkuu,kuachia utamu kirahisi wakati tunaishi mara moja na kufa mara moja,haiwezekani.
Kweli mkuu,hapa ndipo tujifunze wake zetu wanaweza kuendelea kuwa na mawasiliano na ma x wao.
ha ha ha ha dunia hii kuna watoto waliobarikiwa kwa utamu mkuuUkimpata mkuu ukimaliza haja zako usisite kunitumia namba yake!.. maana ktk simulizi yako kuna mahali nimesoma mpaka kibamia changu kikashtuka kikatamka "TOBA"
huo undugu mi nitaundugulisha usihofu
Sasa hizo baraka nataka nizibarakue usilaze damu mtafute tumpe tabasamha ha ha ha dunia hii kuna watoto waliobarikiwa kwa utamu mkuu
ha ha ha ha nadhani kwa sasa atakuwa mke wa mtuSasa hizo baraka nataka nizibarakue usilaze damu mtafute tumpe tabasam
Mkuu sisi pia ni watu sio ng'ombe..ha ha ha ha nadhani kwa sasa atakuwa mke wa mtu
ha ha ha haMkuu sisi pia ni watu sio ng'ombe..
Au huujui ule usemi binamu nyama ya hamu😅
Embu niambie kabisa kama una undugu na mm before sjaanza kukupga sound nsje nkakukatna na dhahama ya equation x
We si unajua undugu wangu na ww ni ule wakufunua ma file tukumbushane mabibiEmbu niambie kabisa kama una undugu na mm before sjaanza kukupga sound nsje nkakukatna na dhahama ya equation x
Sent using Jamii Forums mobile app