reginahope
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 163
- 30
Wadau sipo kiushabiki zaidi ila mtizamo wangu kuhusu bingwa wa EPL. Nimezichunguza timu 4 za juu katika epl na binafsi naona kombe litaenda Chelsea au Liverpool.
Manchester City nimewatoa kwasababu naamini ana game nyingi ngumu za away. Najua mechi na Liverpool,Arsenal pamoja na Manchester united hawezi kushinda.
Pia Arsenal nawatoa sababu fixture yake ya march ni ngumu sana, game kama 5 mfululizo zote ngumu.
Liverpool wapo vizuri kwa sasa na gap kati yake na Chelsea ni point 4 tu, Chelsea pia wapo vizuri na bahati kwao game ngumu ya away ni ya Liverpool tu.
So binafsi nawapa nafasi kubwa Chelsea au Liverpool kubeba ndoo.
Chelsea ana game 6 za home na 6 away, so nadhan anahitaji pointi km 30 awe bingwa.
Manchester City nimewatoa kwasababu naamini ana game nyingi ngumu za away. Najua mechi na Liverpool,Arsenal pamoja na Manchester united hawezi kushinda.
Pia Arsenal nawatoa sababu fixture yake ya march ni ngumu sana, game kama 5 mfululizo zote ngumu.
Liverpool wapo vizuri kwa sasa na gap kati yake na Chelsea ni point 4 tu, Chelsea pia wapo vizuri na bahati kwao game ngumu ya away ni ya Liverpool tu.
So binafsi nawapa nafasi kubwa Chelsea au Liverpool kubeba ndoo.
Chelsea ana game 6 za home na 6 away, so nadhan anahitaji pointi km 30 awe bingwa.