Binamu Bananga aipa darasa CHADEMA

Jamani mpendwa jalalani na kenda kimemsibu nini siku hizi
 
Anaweza akaongea sana maana siku hizi amekua mjinga mjinga tangu mkewe apate ule ubunge wa covid-19.
Jibu hoja sio kumshambulia Bananga.

Tatizo lenu hamtaki kuambiwa ukweli mnajiona MALAIKA amkosei.

Bananga yupo sahihi,jaribuni kuwa na AJENDA yenye kufikia TAMATI sio leo katiba mpya mara kesho mnarukia JAMBO lingine,mnatakiwa mnalolianzisha linapata RESULTS kabla kurukia AJENDA mpya.

Tokea nijue CHADEMA nimeona MOVEMENT For CHANGE, OPERASHENI SANGARA etc lakini pia mmebaki kwenda na MATUKIO hamna msimamo kama chama mwisho wa siku wafuasi wenu watakata tamaa watajua hamna MSIMAMO na pia VIONGOZI wenu MAKUNGURU(yaani kunguru hata ukiokota jiwe tu wanaruka na kukimbia).

Viongozi wapo TWITA wanachama wa kawaida wanaenda FRONT(kwenye maandamano).

Kwanini jana HECHE,MSIGWA,SUGU awakuwepo KISUTU?
 
I dont care wether uzi wa kweli au uongo, huyo Bananga kuwa na ushoga na kina Msando anaweza sema chochote, alipotafuta nafasi ya kugombea Arusha Mjini akashindwa na Lema kwa kukataliwa na wajumbe ndio hasira zake kwa Chadema zimezidi, ni mtu alietafuta maslahi Chadema kwasababu ameyakosa ana hasira na chama.
 
Kwa sababu mungu wenu wa chato hayupo.
 
Pamoja na kwamba simuelewi Bananga siasa zake unazofanya ila siamini km kaandika andiko hili
 
Bananga Mario endelea kubwabwaja kumfurahisha mkeo kovid19 ili uendelee kula.
 
Angalau wasioijua CHADEMA wanaanza kupata mwanga japo kwa mbali CHADEMA ni nini. Ni kundi la wahuni fulani waliobobea ambao wanatumia njia chafu lakini kwa siri ili watimize uroho wao wa madaraka na pesa. Sasa mkiambiwa ni nani anahusika na kupotea kwa Ben Saanane mtaanza kuelewa!

lakini kwa wenye akili sakata la Dr Slaa na Lowasa lilihitimisha ukweli kuhusu rangi halisi ya CHADEMA!
 
Kama uchaguzi uliopita CDM wangepewa nchi huyu mwamba angekuwa ndo waziri wa ulinzi,mpaka sasa angekuwa keshauza siri za nchi.
Kuna siri gani nchi hii ya kiusalama wakati miundombinu yote ya jeshi inajengwa na wachina, na mafunzo wanatoa hao wachina na US? Ama hujui siri ni nini?
 

Hizi propaganda msumuwekee Bananga tu maana kwa sasa iwe ni yeye ameandika, au mmemlisha maneno, hakuna mwenye imani na yeye maana ameamua kusimama na mke wake. Katungeni ya Slaa, ama kamuulizeni myalete humu jukwaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…