Binafsi sikuamini Kama Kenya wana maendereo makubwa ya taasisi za utoaji haki kwakiwango hiki.

lushalila

JF-Expert Member
Feb 23, 2015
283
107
Nitakua mnafiki nisiposema nimestaajabu mno, kwa kile kilichotokea Kenya hii Leo, hili ni kwa nchi za kiafrika, inafahamika kwamba sheria huwa ni kwenye maandishi tu, Kama Kenya wamefikia hapo Basi wanastahili pongezi.
Tujipange kushindana tuache polojo bila hivyo tutakuja jikuta tumeachwa mbalimno.
Hata ulaya kutuacha gap kubwa mamna hii kimaendereo si miujiza, Bali ni utekerezaji kwa makini kile tulichokubaliana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitakua mnafiki nisiposema nimestaajabu mno, kwa kile kilichotokea Kenya hii Leo, hili ni kwa nchi za kiafrika, inafahamika kwamba sheria huwa ni kwenye maandishi tu, Kama Kenya wamefikia hapo Basi wanastahili pongezi.
Tujipange kushindana tuache polojo bila hivyo tutakuja jikuta tumeachwa mbalimno.
Hata ulaya kutuacha gap kubwa mamna hii kimaendereo si miujiza, Bali ni utekerezaji kwa makini kile tulichokubaliana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya ni nchi na inabinadamu. Je, Tanzania ni nchi? Hapana ni saccos ya kikundi cha watu wa chache, yaani mi-ccm
 
Mijizi ya ccm haitaki Kuwa na Tume huru ya Uchaguzi maana wanajua Ndio itakua mwisho wao

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo ndiyo maana ya Democrasia, Kenya wametuacha mbali sana, Mimi aliyenifurahishaZaid ni hotuba ya Kenyata, Anasema bila kumungunya maneno, kuwa Nchi yetu hatutaki Ukabila.!
 
waheshimiwa wasomi wanatendea haki usomi na taaluma zao sio wale vibaraka wachumia tumbo !!
 
b279b24f5841237877806e761dcc1cf0.jpg
 
waheshimiwa wasomi wanatendea haki usomi na taaluma zao sio wale vibaraka wachumia tumbo !!
Uchumia tumbo ni sawa na kansa mbaya sana. Huanza kutafuna nchi taratibu baadae madhara makubwa sana hutokea

-Silasc-
 
Back
Top Bottom