lushalila
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 283
- 107
Nitakua mnafiki nisiposema nimestaajabu mno, kwa kile kilichotokea Kenya hii Leo, hili ni kwa nchi za kiafrika, inafahamika kwamba sheria huwa ni kwenye maandishi tu, Kama Kenya wamefikia hapo Basi wanastahili pongezi.
Tujipange kushindana tuache polojo bila hivyo tutakuja jikuta tumeachwa mbalimno.
Hata ulaya kutuacha gap kubwa mamna hii kimaendereo si miujiza, Bali ni utekerezaji kwa makini kile tulichokubaliana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tujipange kushindana tuache polojo bila hivyo tutakuja jikuta tumeachwa mbalimno.
Hata ulaya kutuacha gap kubwa mamna hii kimaendereo si miujiza, Bali ni utekerezaji kwa makini kile tulichokubaliana.
Sent using Jamii Forums mobile app