Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,124
- 6,141
Sababu kubwa za mimi kuto-support mradi wa treni ya umeme
Multiplier effects ya uwekezaji wa gesi asilia ni kubwa sana kulingana na treni hii ya umeme
Umeme tunaozalisha kama nchi ni mdogo na hili treni za umeme zifanye kazi flawless basi umeme unatakiwa uwe wa uhakika
Treni ya umeme
KUWEKEZA KWENYE GESI ASILIA
Njoo kwenye gharama ya bomba la gesi
Uganda wanatandaza bomba la mafuta lenye urefu wa km 1,443 gharama yake ni usd billion 5.6 na lina diameter ya inch 24, kwa hiyo kwa usd billion 10 tunaweza tukajenga drilling kwenye bahari ya Hindi ambako ndo kuna hifadhi kubwa sana ya gesi asilia na ukasambaza umbali wa km 1,400 ni sawa na kuanzia mtwara mpaka Arusha km 1,186.6 na kutoka dsm mpaka dodoma km 400+ zaidi ya mikoa tisa na in-long run nchi nzima
Kwanini tuwekeze kwenye gesi asilia hili ndo swali utakalouliza???????
Mradi wa sasa wa treni ya umeme utachukua mda mrefu sana kurudisha fedha iliyowekweza kumbuka kiasi kikubwa ni mikopo na huu ndo ukweli mchungu na hii ni mbaya sana kwa sababu nchi maskini kama Tanzania inatakiwa iwekeze kwenye miradi inayorudisha fedha kwa mda mfupi au ambayo ina-multiplier effects kubwa sana
Kwa sababu tuna-uhaba wa umeme mkubwa sana basi gesi asilia itakua ni msaada mkubwa sana sababu gesi asilia inatumika kuzalisha umeme-
kama nchi tunatakiwa tuwe na lengo la kuzalisha umeme megawatts zaidi ya laki 1 hili linawezekana kama tukiwekeza kwenye gesi asilia ambayo tunayo
Gesi asilia inafanyaje kazi kuzalisha umeme kwa wasiojua
Gesi asilia ikichomwa kwenye gas turbines inatengeneza umeme ambao unatumika na viwanda, ofisini na majumbani.
Gesi asilia inaweza kutengeneza joto kubwa ambalo inaungwanishwa na generator kwa matumizi mbalimbali hii ni common sana kwa nchi za ulaya na zile zenye baridi kali-kwa Tanzania hii itasaidia sana mikoa ya njombe, iringa, mbeya ambayo kuna miezi inakuwa na baridi kali
Kuna mtu au watu wanataka kujua Gas turbine ni nini kwa ufupi
Hii ni mashine ambayo inatumika kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia ambayo tunayo hapa Tanzania, baada ya kumaliza kusambaza bomba la gesi asilia kwenye mikoa tofauti-tofauti zoezi litakalofuata ni kununua gas turbines ambazo zitakuwa sehemu wilaya tofauti-tofauti, na mikoa tofauti-tofauti kwa ajili ya kuzalisha umeme
Na-umeme unapozalishiwa sehemu husika unatakiwa utumike hapo-hapo na hili litafanikiwa sababu gas turbines zitakuwa zimetapakaa kila mkoa, na wilaya. Pia ili kukabiliana na tatizo la low voltage mfano umeme unazalishiwa nyumba ya Mungu alafu unaenda dsm kwenye grid ya taifa alafu ndo unarudi tena mikoa ya kaskazin kwa matumizi matokeo yake ile mikoa inapitia changamoto ya low voltage ilihali umeme unazalishiwa jirani
HII SUPPLY CHAIN YA GESI ASILIA KUANZIA DRILLING, PIPELINE NA ELECTRIC GENERATION INATAKIWA IWE CHINI YA SERIKALI YAANI TUIMILIKI SISI
Waekezaji wao kazi yao ni kufungua viwanda vifuatavyo;-
Ningekuwa Rais haraka sana ningesimamisha huo mradi na kuwekeza kwenye gesi asilia
Multiplier effects ya uwekezaji wa gesi asilia ni kubwa sana kulingana na treni hii ya umeme
Umeme tunaozalisha kama nchi ni mdogo na hili treni za umeme zifanye kazi flawless basi umeme unatakiwa uwe wa uhakika
Treni ya umeme
- Lot 1-Dodoma line costing $3.1 billion
- Lot 5 (Isaka to Mwanza) costing $1.321 billion
- Lot 6-USD 2.7 billion
KUWEKEZA KWENYE GESI ASILIA
Njoo kwenye gharama ya bomba la gesi
Uganda wanatandaza bomba la mafuta lenye urefu wa km 1,443 gharama yake ni usd billion 5.6 na lina diameter ya inch 24, kwa hiyo kwa usd billion 10 tunaweza tukajenga drilling kwenye bahari ya Hindi ambako ndo kuna hifadhi kubwa sana ya gesi asilia na ukasambaza umbali wa km 1,400 ni sawa na kuanzia mtwara mpaka Arusha km 1,186.6 na kutoka dsm mpaka dodoma km 400+ zaidi ya mikoa tisa na in-long run nchi nzima
Kwanini tuwekeze kwenye gesi asilia hili ndo swali utakalouliza???????
Mradi wa sasa wa treni ya umeme utachukua mda mrefu sana kurudisha fedha iliyowekweza kumbuka kiasi kikubwa ni mikopo na huu ndo ukweli mchungu na hii ni mbaya sana kwa sababu nchi maskini kama Tanzania inatakiwa iwekeze kwenye miradi inayorudisha fedha kwa mda mfupi au ambayo ina-multiplier effects kubwa sana
Kwa sababu tuna-uhaba wa umeme mkubwa sana basi gesi asilia itakua ni msaada mkubwa sana sababu gesi asilia inatumika kuzalisha umeme-
kama nchi tunatakiwa tuwe na lengo la kuzalisha umeme megawatts zaidi ya laki 1 hili linawezekana kama tukiwekeza kwenye gesi asilia ambayo tunayo
Gesi asilia inafanyaje kazi kuzalisha umeme kwa wasiojua
Gesi asilia ikichomwa kwenye gas turbines inatengeneza umeme ambao unatumika na viwanda, ofisini na majumbani.
Gesi asilia inaweza kutengeneza joto kubwa ambalo inaungwanishwa na generator kwa matumizi mbalimbali hii ni common sana kwa nchi za ulaya na zile zenye baridi kali-kwa Tanzania hii itasaidia sana mikoa ya njombe, iringa, mbeya ambayo kuna miezi inakuwa na baridi kali
Kuna mtu au watu wanataka kujua Gas turbine ni nini kwa ufupi
Hii ni mashine ambayo inatumika kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia ambayo tunayo hapa Tanzania, baada ya kumaliza kusambaza bomba la gesi asilia kwenye mikoa tofauti-tofauti zoezi litakalofuata ni kununua gas turbines ambazo zitakuwa sehemu wilaya tofauti-tofauti, na mikoa tofauti-tofauti kwa ajili ya kuzalisha umeme
- Smaller turbines ambayo inaweza zalisha umeme chini ya megawatts 20 gharama yake ni kati ya usd 500,000 (billion 1 mpaka billion 6)
- Mid-sized turbines inaweza zalisha umeme kati ya megawatts 20 mpaka 100 gharama yake ni usd million 3 (tsh billion 6+ na usd million 10 (tsh billion 20+)
- Large turbines inaweza zalisha umeme zaidi ya megawatts 100 gharama yake ni kati ya usd million 10 (tsh billion 20+) na usd million 20 (tsh billion 40+)
Na-umeme unapozalishiwa sehemu husika unatakiwa utumike hapo-hapo na hili litafanikiwa sababu gas turbines zitakuwa zimetapakaa kila mkoa, na wilaya. Pia ili kukabiliana na tatizo la low voltage mfano umeme unazalishiwa nyumba ya Mungu alafu unaenda dsm kwenye grid ya taifa alafu ndo unarudi tena mikoa ya kaskazin kwa matumizi matokeo yake ile mikoa inapitia changamoto ya low voltage ilihali umeme unazalishiwa jirani
HII SUPPLY CHAIN YA GESI ASILIA KUANZIA DRILLING, PIPELINE NA ELECTRIC GENERATION INATAKIWA IWE CHINI YA SERIKALI YAANI TUIMILIKI SISI
Waekezaji wao kazi yao ni kufungua viwanda vifuatavyo;-
- Processing industries hivi vinaandaa mazao ya kilimo yanalimwa na mkulima kwa ajili ya kutumika na viwanda vya secondary
- Smelter hivi vinadeal na metals vinaandaa metals kwa ajili ya matumizi ya viwanda vya secondary
- Refining hivi vinadeal na hydrocarbon ambazo zinachimbwa chini ya ardhi kwa ajili ya mtumiaji wa mwisho na kwa matumizi ya viwanda vya secondary
- Secondary industries (viwanda vya kutengeneza bidhaa kwa mtumiaji wa mwisho
Ningekuwa Rais haraka sana ningesimamisha huo mradi na kuwekeza kwenye gesi asilia