Wewe mpaka sasa ushatoa wanawake wangapi kwenye mbavu zako?Mwanamke ametoka katika ubavu wa kushoto wa mwanamme.kwanini anakataa?
Adamu kaumbwa na udongo.hawa kaumbwa na nini?Hoja yako iko kiimani zaid lakin hoja ya kuwa ww umetokea ukeni ipo kisayans Na inaeleweka wazi kabisa
Anayezungumzia ni nwanamke was kwanza na mwanaume was kwanzaWewe mpaka sasa ushatoa wanawake wangapi kwenye mbavu zako?
Kuna kale kamsemo ka mda mrefu kati ya kuku na Yai kipi kilianza Juzi jibu lilitoka sasa nasubiri hii ya kutoka kwenye mbavu na kutoka tunakotoka ni kipi kilianza! Tuwemo!Science ipo wazi ila iman figisu kibao
Binadamu ametokana na manii?mbona Leo hii amekuwa na umbile kamili.so angebaki vile vile kwenye hali ya umaji maji.yaliyotoka kwa baba yake?Ubavu ni mfupa, so ningetegemea wanawake wangekuwa skeleton tu