Binadamu wote ni sawa

Erasto kalinga

Senior Member
Apr 1, 2016
171
109
a9cc498bc1bc019d665628c3ef104aa9.jpg
 
Kwa usawa upi ulioeka hapo...
Tukirudi kwenye formula zangu za equilibrium iko hivi..
Acording to newton laws of motion
*Evry action have equal and oposite reaction*
NAMAANA GANI
UMASKINI is always umaskini mean
#=#
And never*
 
Hii dhana inabidi ifutiliwe mbali, wanapotuambia binadamu wote ni sawa huku wengine tukiishi kwenye Nyumba za mbavu ya mbwa na wengine nyumba safi wakipulizwa na kiyoyozi! Haiwezekani tukawa sawa.
Sisi kwenye shule za kata! Wengine kwenye shule za st. Marie's! Aaah! Usawa uko wapi?
 
nyumba kama kanisa, ukute wanakaa baba, mama na watoto wawili na hasuigelo.. teh!
 
Hii dhana inabidi ifutiliwe mbali, wanapotuambia binadamu wote ni sawa huku wengine tukiishi kwenye Nyumba za mbavu ya mbwa na wengine nyumba safi wakipulizwa na kiyoyozi! Haiwezekani tukawa sawa.
Sisi kwenye shule za kata! Wengine kwenye shule za st. Marie's! Aaah! Usawa uko wapi?
Na ndiyo maana nikasema kuna wengine wako sawa zaidi ya wengine.
 
Wanazungumzia usawa wa kibaiolojia....yaani ni kuwa huyo naye ana miguu miwili na macho mawili na moyo unaopiga kwa mwendo ule ule.....na vitu vinavyofanana na wewe mwilini mwako......
 
Shida ni mwenye gorofa anashinda bar kwa sababu nyumbani hakukaliki lakini mwenye nyumba ya hovyo mapema yuko nyumbani anainjoi na wife na watoto
 
Hii dhana inabidi ifutiliwe mbali, wanapotuambia binadamu wote ni sawa huku wengine tukiishi kwenye Nyumba za mbavu ya mbwa na wengine nyumba safi wakipulizwa na kiyoyozi! Haiwezekani tukawa sawa.
Sisi kwenye shule za kata! Wengine kwenye shule za st. Marie's! Aaah! Usawa uko wapi?
Inategemea na unaongelea usawa gani. Kwa picha hapo juu au kwa maisha, hakuna usawa.
 
Back
Top Bottom