FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,527
- 46,612
Yaani vyakula visagwe kwenye blender, then viuzwe kama mafuta kwenye sheli, yaan kitovu kinafungiwa koki, badala ya kula we unajaza tu mafuta..
Pole na naona kawambwa kakujia vibaya na kitu cha divisheni faivu. Tafta hata chuo cha utalii ukapige buku maana unakoendea utatembea toka dar had zanzibar kwa miguu kama wale vijana wa ukawa.
Kuishi kwingi ni kuona mambo mengi.hii ni dalili moja wapo ya uvivu.kupenda mteremko
Gym ya Colloseum sio?Hahahaaa mkuu... Radi itakayo kupiga bado iko gym inapiga push ups...lol
Gym ya Colloseum sio?