Binadamu kiumbe mzito sana

We gawa maziwa bure uone watu watakavyokunywa sio wewe unaehamasisha kwa maneno wakati watu wamepigika
 
kwa mwaka at least mtu unywe pipa moja la maziwa.....
 
Al-Hamdulillah...... Mifugo ipo kwa wingi..... maziwa ni lishe ilokamilika.... hata bei yake inakubalika.
 
Binaadamu kama hajaamua kufanya jambo lake hata umwambiaje hakuelewi....hata liwe na manufaa nae..
 
wakati mwengine tunakuwa hatuna hela ya kununulia madhiwa.
Nalog off
 
Bia tuna hamasishwa via matangazo na bahati nasibu wajameni
 
Tuhamasishwe tu na si maziwa pekee mpaka nyama pia...... Yeah bila kubustiwa ubongo akili haiendi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…