Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,168
- 48,446
Hakuna binadamu yeyote ambaye anaijua kesho yake. Je, hali ya binadamu kutokujua nini kitatokea muda mchache mbele yake ni majaaliwa ama ni nini?
Je, kuna nguvu yoyote inayoonekana ama isiyoonekana ambayo inajua hatima ya binadamu?
Je, kuna nguvu yoyote inayoonekana ama isiyoonekana ambayo inajua hatima ya binadamu?