Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,198
- 162,735
Kweli binadamu akisema sasa basi nimechoka,hata ufanye nini huwezi kumbadilisha hata kama atakabiliwa na hatari kubwa mbele ya safari.
Cyber law ilianza tangu tarehe 01/09/2015 lakini nikiangalia lugha na yanayoendelea katika mitandao ya kijamii hasa kuhusiana na maswala ya uchaguzi mkuu,watu wanafunguka na kujiachi utazani hakuna sheria iliyotungwa.
Kuna wataokuja na hoja kwamba labda mpaka baadhi yao watolewe mfano ndio watu wataogopa,lakini sidhani kama watu watanyamaza kwa jinsi walivyochoka na kuishiwa uvumilivu.
Hata hivyo,tatizo kubwa ni wanasiasa wetu kutumia vibaya vyombo vya habari na majukwaa ya kisiasa kwa maslahi yao binafsi ili hali wananchi wamechoka na hawana pa kusemea(kujibu) zaidi ya kutumia mitandao hii ya kijamii.
Matumizi mabovu ya mitandao kwa kiasi fulani ni matokeo ya matumizi mabovu ya vyombo vya habari.
Mwanasiasa akitumia lugha chafu au propaganda majukwaani mwananchi wa kawaida atamjibu wapi zaidi ya kutumia hii mitandao?
It is a challenge; a real big challenge!
The law should be suspended otherwise we are heading for troube-a very seriuos one-as a nation.
Cyber law ilianza tangu tarehe 01/09/2015 lakini nikiangalia lugha na yanayoendelea katika mitandao ya kijamii hasa kuhusiana na maswala ya uchaguzi mkuu,watu wanafunguka na kujiachi utazani hakuna sheria iliyotungwa.
Kuna wataokuja na hoja kwamba labda mpaka baadhi yao watolewe mfano ndio watu wataogopa,lakini sidhani kama watu watanyamaza kwa jinsi walivyochoka na kuishiwa uvumilivu.
Hata hivyo,tatizo kubwa ni wanasiasa wetu kutumia vibaya vyombo vya habari na majukwaa ya kisiasa kwa maslahi yao binafsi ili hali wananchi wamechoka na hawana pa kusemea(kujibu) zaidi ya kutumia mitandao hii ya kijamii.
Matumizi mabovu ya mitandao kwa kiasi fulani ni matokeo ya matumizi mabovu ya vyombo vya habari.
Mwanasiasa akitumia lugha chafu au propaganda majukwaani mwananchi wa kawaida atamjibu wapi zaidi ya kutumia hii mitandao?
It is a challenge; a real big challenge!
The law should be suspended otherwise we are heading for troube-a very seriuos one-as a nation.