kwenye window ya tigo hii huduma ya tigo bima ipo kweli. Ila inawezekana Kuna watu wanatumia hio loop, kutapelia wananchi kuweni makini. Kwa maelezo zaidi inhieni kwenye mtandao wao was tigo ujiridhishe. Hata mm nilipigiwa Sim nikaifatilia nikajiridhisha na nimejiunga. Ila wasiwasi wangu ni kwamba wanaweza kuwa Sio smart kwenye kurefinancy mtu anapopatwa na majanga
Sent using
Jamii Forums mobile app