stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 18,903
- 14,667
vp mmetuongezea siku za kukaa madarakani tena jana ulisema ndo mwishoWewe utakuwa unategemea kila kitu toka kwa Samia Suluhu Hassan. Siyo bure. Unahangaika sana kwenye hizi siku za hivi karibuni.
Ujumbe ni ule ule, mmeaua waTanzania, nyinyi hamna tena nafasi ya kuwatawala watu mnaowaua kama wanyama tu mnaowafuga.
Tatizo kubwa linalotukabili sasa hivi ni kuokoa uhai wetu; na siyo hizo hadaa na ulaghai wa vijihela mjinga namna hiyo.
Hamuwezi kamwe kununua utu wa mTanzania yeyote.
vp mmetuongezea siku za kukaa madarakani tena jana ulisema ndo mwisho
View: https://x.com/Labella_Mafia95/status/1998468567705047406?s=20