Jomba Wajo
Member
- Apr 6, 2012
- 33
- 17
Itakuja siku, kama si tahadhari binafsi kuchukuliwa, hiphop bongo itapotelea kusikoko.
Hii ni kwa sababu waimbaji wa mtindo huu wamekuwa wakihusishwa sana na uvutaji unga kama ilivyo kuwa kwa kwa mangwea, langa, na wengineo. inasdemekana pia pia ukaribu wa b.nas na tid ni kukutana kwenye maskani sa unga.
Hii ni kwa sababu waimbaji wa mtindo huu wamekuwa wakihusishwa sana na uvutaji unga kama ilivyo kuwa kwa kwa mangwea, langa, na wengineo. inasdemekana pia pia ukaribu wa b.nas na tid ni kukutana kwenye maskani sa unga.