Bila CHADEMA imara, Leo hii tusingeongozwa na Magufuli

Bila CHADEMA imara, Leo hii tusingeongozwa na Magufuli

Peterson jr

Member
Joined
Jan 6, 2018
Posts
12
Reaction score
7
Amani iwe nanyi, ni takribani miaka miwili tangu uchaguzi mkuu umalizike 2015. Ukweli usiopingika ni kwamba bila CHADEMA imara na Muungano wa vyama vyama "ukawa" Leo hii magu asingekuwepo ikulu.

Namshari mtukufu na ccm kwa ujumla kwamba wasiue upinzani wawaruhusu nao wafanye siasa kama CCM kwa ni hawa ndo waliibua ufisadi wa nchi hii na kupiga kelele tunaibiwa japo walitukanwa na wana CCM lakini Leo watanzania wamejua kua tunaibiwa na wazungu na agent wa wazi hao ni CCM wenyewe.
 
Sio bila Lowassa ? Maana inasemekana Lowassa ni taasisi inayojitegemea🙄
 
Amani iwe nanyi, ni takribani miaka miwili tangu uchaguzi mkuu umalizike 2015. Ukweli usiopingika ni kwamba bila chadema imara na muungano wa vyama vyama "ukawa" Leo hii magu asingekuwepo ikulu. Namshari mtukufu na ccm kwa ujumla kwamba wasiue upinzani wawaruhusu nao wafanye siasa kama ccm kwa ni hawa ndo waliibua ufisadi wa nchi hii na kupiga kelele tunaibiwa japo walitukanwa na wana ccm lakini Leo watanzania wamejua kua tunaibiwa na wazungu na agent wa wazi hao ni ccm wenyewe.
Hii ni sawa kabisa!

Kuna watu hawalijui hili..mm nadiriki kusema hata Lowasa,Kingunge,Sumaye na wengine walioingia Chadema wakirudi CCM au hata wakastaafu siasa lkn ukweli ni kwamba kazi yao imefanikiwa na vizazi vijavyo vitawakumbuka sana.

Kutoka kwao CCM na kuingia CHADEMA kumesababisha haya yote yabayoonekana leo.
Bila wao Magufuli asingelikua Rais na kwa sababu hiyo CCM isingelifanya mabadiliko yryote ndani ya chama chao na kila kitu kingelibaki kama kilivyo.

Wanye macho madogo wanaona kama haya ni matokeo ya mipango ya ndani ya ccm kumbe haya yanatokana na pressure ya nje ya ccm ambayo ukiitafuta kwa haki utakuta imesababishwa na UKAWA na Chadema.

Hongera sana Chadema na Ukawa.
 
Ni kweli bila ya Chadema imara Kikwete asingepata ujasiri wa kumkata Lowassa

Kwa hili Chadema washukuriwe sana
 
Hii ni sawa kabisa!

Kuna watu hawalijui hili..mm nadiriki kusema hata Lowasa,Kingunge,Sumaye na wengine walioingia Chadema wakirudi CCM au hata wakastaafu siasa lkn ukweli ni kwamba kazi yao imefanikiwa na vizazi vijavyo vitawakumbuka sana.

Kutoka kwao CCM na kuingia CHADEMA kumesababisha haya yote yabayoonekana leo.
Bila wao Magufuli asingelikua Rais na kwa sababu hiyo CCM isingelifanya mabadiliko yryote ndani ya chama chao na kila kitu kingelibaki kama kilivyo.

Wanye macho madogo wanaona kama haya ni matokeo ya mipango ya ndani ya ccm kumbe haya yanatokana na pressure ya nje ya ccm ambayo ukiitafuta kwa haki utakuta imesababishwa na UKAWA na Chadema.

Hongera sana Chadema na Ukawa.
Ndo kujifunza kutoka katika mapungufu
 
Huo ndio ukweli halisi, japo kwa upande wa wazee wa kijani kama inzi ni mchungu kwao kuukubali
 
Back
Top Bottom