Bila CCM madhubuti upinzani imara nchi yetu itayumba...

BongoTz

JF-Expert Member
Nov 3, 2006
272
3
Ingawa sikubaliani na baadhi ya sera zake za kijamaa, ukweli ni kwamba huyu Nyerere alikuwa anaona mbali sana! Na I think kila mwanasiasa wa Tanzania regadless kama ni kutoka CUF, CCM, Chadema, TLP ama DP, anatakiwa kusoma hii speech, aitafakari, na kuielewa. Hususani wanasiasa chipukizi wa kizazi hiki cha BongoFlava kama January Makamba na Zitto Kabwe (maybe Kikwete pia). P.S. Maneno yaliyofungwa [i.e. Upinzani imara], nimeyaongeza mimi: Enjoy...

 
Mi nadhani elimu ya uraia bado kabisa haijafika mahali kunakostahili zaidi ya kuongelewa mjini na kwenye makongamamo tu. Tazama watu hao mi pia nafikiri maeneo kama hayo ndiko hara REDET wanafanyia research zao.

Taarifa muhimu za mwenendo wa nchi hii na alama za nyakati hazijawafikia kabisa watu kama hao.

Hii inasikitisha sana, watu hao tizama hawana elimu, maisha bora kwao bado ni ndoto. Hii inadhihirisha ule usemi kwamba ukitaka kuendelea kutawala basi mnyime mtu elimu ili aendelee kuwa mjinga.

baba wa Taifa mwalimu Nyerere katika moja ya hotuba zake alisema- The best way to help the poor is to give them good education.

lakini kwa hali halisi inaonesha viongozi wetu wamesahau hilo ili waendelee kutawala milele.

Mimi natoa wito kwa asasi zisizo za kiserikali, wadau mbalimbali wa JF,vyombo vya habari, wasanii ingawa si kama wale waliovalisha T-shirts za SISIEM pamoja na mdau mmoja mmoja kujitahidi kuwasaidia watu wapate taarifa na elimu stahili juu ya nchi hii.

Pia nadhani TZ bado ipo chini sana katika statistics za awareness inayohusiana na civil rights, democracy, participation katika mambo mbalimbali katika jamii etc. Mwenye statistics hizo atuwekee hapa jamvini tuzione.

Ni hayo tu!
 
Motto wa serikali ya awamu ya nne ya TZ katika ngwe ya miaka mitano ya mwisho na jinsi utekelezaji wake unavyoonekana ni ''Ari zaidi nguvu zaidi na kasi zaidi kuelekea umaskini''.&lt;br /&gt;<br />
Kidumu Chama Cha Majambazi kidumuuuu
 
Motto wa awamu ya nne katika ngwe ya miaka mitano ya mwisho na jinsi utekelezaji wake unavyoonekana ni ''Ari zaidi nguvu zaidi na kasi zaidi kuelekea umaskini''.
Kidumu Chama Cha Mafisadi kidumuuuu

Dah! ukistaajabu ya Mussa......yote hayo katika kuendelea kuifilisi Tanzania, wameyaona ya Misri na Tunisia nadhani wanaweweseka na kuingiwa woga mkubwa sana
 
Motto wa awamu ya nne katika ngwe ya miaka mitano ya mwisho na jinsi utekelezaji wake unavyoonekana ni ''Ari zaidi nguvu zaidi na kasi zaidi kuelekea umaskini''.
Kidumu Chama Cha Mafisadi kidumuuuu

Hapa umekosea mkuu ni Majambazi.
 
uwongo huo.............. mbona ccm ipo na bado nchi inayumba??.................. au "kuyumba maana yake nini??..................
 
Iyumbe kiasi ya hapa? Ama mpk mwone vilindi vya damu ya Watanzania ndio mjuwe Nchi inayumba? Kawaambie waliku2ma humu jamvini wenyeji wameshajuaga mbinu wa sisiem kitambo. Mbona ya mwenyekiti wa chichiem hajawaita vijana na akawaita wazee tu?
 
Kweli manake kobe ukimvua gamba bila ridhaa yake ina maaana gamba halijakomaa.sasajipya mpaka liote likomae lazima ayumbe sana kwa jua na mvua.ila nasema hivi kila uhai unataka maji ,na hewa
 
Iyumbe kiasi ya hapa? Ama mpk mwone vilindi vya damu ya Watanzania ndio mjuwe Nchi inayumba? Kawaambie waliku2ma humu jamvini wenyeji wameshajuaga mbinu wa sisiem kitambo. Mbona ya mwenyekiti wa chichiem hajawaita vijana na akawaita wazee tu?
Ni ajabu mbona anaongea kupitia wazee tu. Wazee siku zao CCM imeshazimaliza wanasubiriwa makaburini. Kwa nini asiwaite vijana bila kujali vyama halafu aongee na Taifa kupitia kwao. Vijana ndio wanaokipata cha moto kutokana na uozo wa serikali ya Chama Cha Mafisadi akina Jairo. Vijana ndio watateseka kwa miaka mingi ijayo wao na watoto wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…