Jukwaaa liko hili liko makini,yawezekana linaonekana swali la kijinga kwako au lenye maana.
Nimeuliza hivyo coz nimekuta mjadala unaendelea kuhusu suala hilo kuna baadhi wanadhani ni ufahari kumbikiri mwanamke ati utakua umeweka sahihi ya kudumu hatokusahau kamwe vile vile hata ukimwomba mgegedo baade hatochomoaaaaaaaaa....
Kwa upande mwingine wanaona kumpa mimba ni ujanja pia ni heshima.
Nadhan umeshawahi kuusikia/kuona video ya wimbo wa ray j - i hit it first
Jins anavyojigamba yeye alipita kwanza kwa kim kadarshian.
Kwa hio usidharau uzi huu ni mambo yanayotokea kwenye jamii zetu.
Ntarudi tenaaa baadae