SANZIKI
Member
- Aug 17, 2018
- 7
- 16
Habari ya Muda huu wadau wa Maendeleo ya Biharamulo.
Nimekaa kimya kwa Muda Mrefu juu ya Kikundi kinajiita Albatross kilichojitengeneza kwaajili ya jimbo la Biharamulo.
Leo nitazungumza ilivokua kwa Mwanachama Mmoja aliyejitoa.
"Baada ya kupoteza nafasi ua Ubunge Mwaka 1990 Mh. JPM ilibidi Mwaka 1994 Ajiunge na Albatross.
Wakati anajiunga Mwaka 1994 Hakujua Nini? Hasa Malengo ya Albatross lakini kwasababu aliaminishwa na Ndugu Stanslaus Kasusula kuwa ili Mbunge wa Biharamulo lazima uwe mwanachama wa Albatross.
Mwaka 1995 alifanikiwa kuingia kwa Mara ya Kwanza Bungeni Kupitia CCM akiwawakilisha wananchi wa Jimbo la Biharamulo Mashariki/Chato.
Hali ilikua Tofauti sana Baada ya kufanikiwa kuingia Bungeni. Hakutakia kabisa kutimiza matakwa ya Albatross kitu ambocho kilianza kumpa upinzani ndani ya Chama. Upinzani huo uliibuka Baada ya Albatross kutafta Mtu na kumdhamini pesa ili akaanze kujiweka karibu na Wananchi wa Jimbo la Biharamulo Mashariki.
Mh. JPM aligundua mbinu hizo mapema akaanza kuwa mkali kwa kila aliyeanza kunyemelea Jimbo lake. Mungu ni mwema alifanikiwa kudhibiti hilo .
Hakuishia hapa Bali alianza harakati za kujitenga na kuhakikisha Chato inabaki kama Chato na si sehemu ya Biharamulo.
Albatross walichukia sana hata baada ya Ndg Kasazi kuingia Bungeni walitaka kumtumia ili kumdhoofisha Mh. JPM ndio maana kuna wakati walirushiana Maneno sana Bungeni .
Mh JPM alikataa Kuchangia kabisa Million 20 za Kila Mwaka kama Mwanachama na Matokeo yake albatross walimtimua kabisa na kumfuta Wanachama. Hii ilimchefua sana Mh. JPM na kuwachukia sana watu hawa (Sina Uhakika kama aliwachukia hadi wana Biharamulo. )
Albertross wanaendelea na Mchezo huo mpaka leo na hawa si wazuri.
Mwaka 2020 Albatross wameweka watu wao pia kwenye mchakato wa kulitafta Jimbo.
Wapo Wagombea 4 ni Wanachama wa Albatross.
Hii ndio Biharamulo halisi inayotafunwa na kikundi cha watu wachache waliojikalia Dar es salaam na kutaka kula Biharamulo"
Nimekaa kimya kwa Muda Mrefu juu ya Kikundi kinajiita Albatross kilichojitengeneza kwaajili ya jimbo la Biharamulo.
Leo nitazungumza ilivokua kwa Mwanachama Mmoja aliyejitoa.
"Baada ya kupoteza nafasi ua Ubunge Mwaka 1990 Mh. JPM ilibidi Mwaka 1994 Ajiunge na Albatross.
Wakati anajiunga Mwaka 1994 Hakujua Nini? Hasa Malengo ya Albatross lakini kwasababu aliaminishwa na Ndugu Stanslaus Kasusula kuwa ili Mbunge wa Biharamulo lazima uwe mwanachama wa Albatross.
Mwaka 1995 alifanikiwa kuingia kwa Mara ya Kwanza Bungeni Kupitia CCM akiwawakilisha wananchi wa Jimbo la Biharamulo Mashariki/Chato.
Hali ilikua Tofauti sana Baada ya kufanikiwa kuingia Bungeni. Hakutakia kabisa kutimiza matakwa ya Albatross kitu ambocho kilianza kumpa upinzani ndani ya Chama. Upinzani huo uliibuka Baada ya Albatross kutafta Mtu na kumdhamini pesa ili akaanze kujiweka karibu na Wananchi wa Jimbo la Biharamulo Mashariki.
Mh. JPM aligundua mbinu hizo mapema akaanza kuwa mkali kwa kila aliyeanza kunyemelea Jimbo lake. Mungu ni mwema alifanikiwa kudhibiti hilo .
Hakuishia hapa Bali alianza harakati za kujitenga na kuhakikisha Chato inabaki kama Chato na si sehemu ya Biharamulo.
Albatross walichukia sana hata baada ya Ndg Kasazi kuingia Bungeni walitaka kumtumia ili kumdhoofisha Mh. JPM ndio maana kuna wakati walirushiana Maneno sana Bungeni .
Mh JPM alikataa Kuchangia kabisa Million 20 za Kila Mwaka kama Mwanachama na Matokeo yake albatross walimtimua kabisa na kumfuta Wanachama. Hii ilimchefua sana Mh. JPM na kuwachukia sana watu hawa (Sina Uhakika kama aliwachukia hadi wana Biharamulo. )
Albertross wanaendelea na Mchezo huo mpaka leo na hawa si wazuri.
Mwaka 2020 Albatross wameweka watu wao pia kwenye mchakato wa kulitafta Jimbo.
Wapo Wagombea 4 ni Wanachama wa Albatross.
Hii ndio Biharamulo halisi inayotafunwa na kikundi cha watu wachache waliojikalia Dar es salaam na kutaka kula Biharamulo"