MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,648
- 70,647
- Thread starter
-
- #21
Nilichopenda ktk huu uzi wenu ni hiyo style yenu wenyewe wawili MGuccI na MALCOM LUMUMBA yaani mna_badilishana mawazo wenyewe wawili do!!.
Naishusha this thing called life.. Nimeiona hapa.. I think itakuwa dope... Imebidi nijiunge usiku pack bila kupenda... MALCOM LUMUMBA
Itabidi nayo niipakue mkuu... ThanksIla Testimony mimi ndiyo naona ni ya moto sana.
we kaka naomba utoe avatar yako..Kila nkikutana nayo usiku inanipa maluweluweπππAnazo mbili halafu,
Ya kwanza inaitwa Testimony ya mwaka 2014 na Ya pili inaitwa This Thing Called Life ya mwaka 2015.
Ngoja nikiwa kwenye network nzuri naweza iweka.
Ila kama unaweza tafuta program ya U torrent, download kwenye PC yako au simu kama ina support.
Then nenda kwenye mtandao unaitwa Kat.ph, au ratorrent au the pirates bay. Search humo ndani utazikuta hizo Album zote halafu unazishusha tu.
Samahani nawatoa nje ya mada kidogo but mkisoma endeleeni;
Kuna wakati flani mwaka mmoja kabla cjawa member wa jf, nilikuwa nasoma post na comments tu sikuweza kufanya lolote maana sikuwa member.
Jamaangu yeye alkuwa member, ila ktk post zake nilikuwa nashangaa mbona aki_post hakuna comments zaidi ila ni ya mtu mmoja tu?
Alichonijibu ndo nakumbuka hii yenu, means ana_post then baada ya 30mins asipoona comment yoyote kumbe ana sign avatar ingine na kuji_comment mwenyewe
Kuna watu wanaimba sana aiseee
very wounderful work mkuu wow,ila sam smith ni mzuri sana lakini huyu underground aisehh he has beautiful music talent kweli anajua umenifanya nimkubali sana na nimfutilie huyu contester katka safari yake kwenye hizi show, thank you malcom to share with us,Huyu jamaa kamfunika hadi Adele mwenyew, naomba hilo nikiri kabisa.
Hii hatari sasa, khaaaa.
Hangaiki kuimba kabisaa. Akikaa vizuri kimuziki huyu Jamaa ni level za Kina Mozart, Nina Simone na Whitney Houston.
Hapa Sam Smith kahangaishwa naye.
Hapa Leonard Cohen kapotezwa.
Mungu humpa kila mtu Chupa yake ya Mafuta.
Naamini watu kama hawa hata Bongo wapo sema ndiyo vile tunapenda mamidundo tu, mziki mingine tunaona ni Ukoloni.
It's okay kuimba Utamaduni ila ikumbukwe kwamba Good Music HAS NO RACE.
CC: MGuccI , Nando , toxic9 , Makendaa , Paulo Sergio De Souz , UncleBen , Kaboom , Upiversity , kui , Masunga Maziku , Dotworld
Ed sheeran nae n noma ushasikiliza album yke inaitwa X ile album n kali ndo album nayoona inaweza shindana na ya sam smith in the lonely hourThe Weekend ni wa moto sana,
Sema ninachoogopa ni kwamba RnB Music inahitaji uwe very dynamic na creative sana.
Akiwa dynamic itamsaidia kuweza kufit kwenye Collabo na wasanii wa Hip Hop, RnB, Raggae, Rock, Pop and any other form of music.
Kuna wasanii kama Miguel, Young Llyod, Jay Holiday, Bobby Valentino, Boys 2 Men, Omarion, walikuwa wanatisha kuliko hata Weekend lakini wamepotea mbali sana. And if you question why? The answer is that they became predictable and obvious.
Kitanchomfanya mwanamziki awe relevant in this time ni uwezo wa kufanya collabo nyingi na wasanii wa aina tofauti.
Mfano angalia Chris Brown, R Kelly, Neyo, wako relevant kwasababu wanaweza kufit kila sehemu.
Album ya kwanza ya THE WEEKEND kuisikia inaitwa KISS LAND,
ameimba Ballads humo ndani, album nzima ni staili moja.
Sasa kwa kizazi chetu cha entertainment watu hawasikilizi ujuvi wanataka kuruka inakuwa ngumu sana kuuza.
But all in all,
Jamaa ana kipaji balaaa.
Itafute album inaitwa X ya ed sheeranMkuu unamzungumziaje The weekend... Nasikiliza album yake inaitwa BEAUTY BEHIND THE MADNESS..
Jamaa anajua sanaaa.
MALCOM LUMUMBA
Haha yuko vizuri mkuu namuona YouTube mmhh ne sheedahItafute album inaitwa X ya ed sheeran
Huyu jamaa anajua sanaa...Ed sheeran nae n noma ushasikiliza album yke inaitwa X ile album n kali ndo album nayoona inaweza shindana na ya sam smith in the lonely hour
Huyu jamaa anajua sanaa...
Nimedownload hii album yake nimezipenda sanaa hizi nyimbo
Afire
I see fire
Photograph
I'm a mess
Even my Dad does sometimes
Malcom lumumba, kedrick, MGuccl na wengine naomba muweke hapa album za sam smith, adela,ed sheeran na the weekend ili tupakue hapa hapa
we kaka naomba utoe avatar yako..Kila nkikutana nayo usiku inanipa maluweluweπππ
we huoni..Mmarehem c marehem..Kibwengo si kibwengoo....na huo weusiKwanini sura yangu ikupe maluweluwe?
ππππππ