Big up Rais wetu kwa kumtafutia fursa Diamond

Status
Not open for further replies.
Mleta Mada ulicholeta ni upotoshaji wa kiwango cha juu. Ukweli ni huu: Mh Rais yupo Marekani kwenye Ziara zake, Alipokuwa Manhattan NEWYORK jana akasikia kijana wake kutoka Tanzania Diamond yupo pia huko na kwa kuwa Mh Rais anawapenda vijana wake akawaambia wasaidizi wake wamuite Diamond, akaitwa na yeye kwa kuwa anampenda Rais wake akafika bila kuchelewa. Walipoanza mazungumzo yao Mh Rais akampongeza kwa namna ambavyo muziki wake unavyoitangaza Tanzania kimataifa hasa baada ya kufanikiwa kuingia kwenye Tuzo Kama MTV, Bet, Kora na Afrimma. Mh Rais akazungumzia anavyofikiria namna ya kumsaidia Zaidi yeye na wasanii wengine wa nchi hii ndiyo akamkutanisha Diamond na mdau mkubwa wa muziki Russell Simmons (siyo 50 Cent) lengo likiwa ni kuangalia namna ya kuwasaidia wasanii wa Tanzania.

Kazi kwelikweli.......................!!
 
Mwenye tangazo la ikulu juu ya hii safari atuwekee hapa tafadhali ili kuondoa utata. Si walisema anaenda Canada na binafsi niliona kwenye tv moja hapa nyumbani ikitoa habari yake akiwa Canada na waziri wa ustawi wa jamii wa huko wakivisit kituo cha watoto (sijui ni wa namna gani ila walikuwa mixed races).
Hili swala la kuwa USA hata mimi linanipa shida kutafakari japo kwa 'udogo' wangu siwezi kumfanya lolote!
Nilidhamiria kusema kuwa Kikwete hakunyanyua mguu wake kutoka Tanzania kwenda ughaibuni kwa ajili maalumu ya Diamond ila kulikua na safari ya msingi iliyompeleka isipokuwa mengine yanaweza kujitokeza kwa manufaa ya Taifa na yeye kama Rais anawajibu ya kuyafanya. Angalia umbali wa USA na CANAD ni nchi jirani. Ni sawa na anayetoka Ughaibuni akaja Afrika Mashariki si jambo gumu anayekuja Tanzania kwa jambo kubwa akashindwa kufika Kenya kwa jambo dogo. Kwa hiyo alichofanya JK ni sawa.
 
Inategemea, labda ilikuwa fund raising. Kama kulikuwa na jambo la maana poa otherwise naye atakuwa msanii tu.
 
Ndo huyo aiseee,,,,
Sijui alichunguzwa???

ile ilikua kiki tu! Na aliilipia ...Maana ile skendo ilikuja alipokua anaitambulisha ile video ya milioni 50! Yani kabisaa Diamond awekwe front page Mwananchi ati anauza unga?
 
Rais wetu ni mtu wa kujituma sana yaani usiku na mchana, USA hadi Oman kwa ajili ya kuwatafutia maisha bora watanzania kwa ujumla, kama hapa anavyoonekana akiwa busy kumtafutia Diamond wasanii wa kupiga naye kolabo. Hapo yuko busy akichart na 50cent kama ataweza kumpa tafu kijana wetu mkali cause no matter what Diamond is more important than staying back in the country to deal with some minor issues like ESCROW account or wasting his energy and time to address the issue of our new constitution or even wasting his valuable time thinking about the measures of tackling unemployment and corruption in our country cause at the end of the day his workaholics ministers like Wasira, Lukuvi, Juma Nkamia, Sophia simba under the supervision of the commander himself Mizengo Pinda can fix all the minor problems in fixing the country while our dear President deal with more urgent and important issue of promoting diamond in the Us and making diamonds career surpass even Michae Jackson.Big Mr President. View attachment 162380

Ampigie promo na juma kasimu kiroboto aka "nature msitu wa vina."
 
Khaaaaa..! Seriously? Mungu asogeze 2015 iwe kesho tu

What a waste!!:shock:
 
Mimi sijaelewa, kuna kitu gani JK kafanya kibaya hapo? Maana naona kila sehemu kwenye mamitandao watu wanaponda tuu
Inawezekana ni ule "wivu wa kike" aliokuwa akiuongelea nambari one mstaafu ndo unaowasumbua watu humu.
 
Rais wetu ni mtu wa kujituma sana yaani usiku na mchana, USA hadi Oman kwa ajili ya kuwatafutia maisha bora watanzania kwa ujumla, kama hapa anavyoonekana akiwa busy kumtafutia Diamond wasanii wa kupiga naye kolabo. Hapo yuko busy akichart na 50cent kampa ataweza kumpa tafu kijana wetu mkali cause no matter what Diamond is more important than staying back in the country to deal with some minor issues like ESCROW account or wasting his energy and time to address the issue of our new constitution or even wasting his valuable time thinking about the measures of tackling unemployment and corruption in our country cause at the end of the day his workaholics ministers like Wasira, Lukuvi, Juma Nkamia, Sophia simba under the supervision of the commander himself Mizengo Pinda can fix all the minor problems in fixing the country while our dear President deal with more urgent and important issue of promoting diamond in the Us and making diamonds career surpass even Michae Jackson.Big Mr President. View attachment 162380
Hata sijui tumefikaje huku! Mungu ni wa ajabu sana! Na kapita two terms!
 
Rais wetu ni mtu wa kujituma sana yaani usiku na mchana, USA hadi Oman kwa ajili ya kuwatafutia maisha bora watanzania kwa ujumla, kama hapa anavyoonekana akiwa busy kumtafutia Diamond wasanii wa kupiga naye kolabo. Hapo yuko busy akichart na 50cent kama ataweza kumpa tafu kijana wetu mkali cause no matter what Diamond is more important than staying back in the country to deal with some minor issues like ESCROW account or wasting his energy and time to address the issue of our new constitution or even wasting his valuable time thinking about the measures of tackling unemployment and corruption in our country cause at the end of the day his workaholics ministers like Wasira, Lukuvi, Juma Nkamia, Sophia simba under the supervision of the commander himself Mizengo Pinda can fix all the minor problems in fixing the country while our dear President deal with more urgent and important issue of promoting diamond in the Us and making diamonds career surpass even Michae Jackson.Big Mr President. View attachment 162380

Wow!! Kikwete safi sana, wakomeshe Watz hadi wajute kukuchagua.
 
Nilidhamiria kusema kuwa Kikwete hakunyanyua mguu wake kutoka Tanzania kwenda ughaibuni kwa ajili maalumu ya Diamond ila kulikua na safari ya msingi iliyompeleka isipokuwa mengine yanaweza kujitokeza kwa manufaa ya Taifa na yeye kama Rais anawajibu ya kuyafanya. Angalia umbali wa USA na CANAD ni nchi jirani. Ni sawa na anayetoka Ughaibuni akaja Afrika Mashariki si jambo gumu anayekuja Tanzania kwa jambo kubwa akashindwa kufika Kenya kwa jambo dogo. Kwa hiyo alichofanya JK ni sawa.
Unajua rais kama dhamana ni tofauti na mtu binafsi na ndio maana leo hakuna anayefuatilia ziara za mfano Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi kwa maana walishalivua koti la urais.
Unataka kunishawishi kwamba B. Obama alifanya makosa kwa kutokufika Nairobi japo kwa dakika 45 maana alipokuwa tz alikuwa jirani kabisa na 'babu' zake!?
Na tuangalie tusije kujidanganya pale tunaposikia kuwa nchi kama Nigeria zinavuna pesa nyingi katika uchumi wao kutokana na wasanii. Tukidhania hivyo basi tujiulize ni ziara ngapi marais wa Nigeria walifanya Ulaya na USA kuwa 'promote' wasanii, wachezaji mpira nk. Na je kwa Nigeria, hao akina Chinua Achebe, Soyinka na manguli African writers (Literature) 'waliibuliwa' na ziara za marais wao!?
 
Freeman Mbowe akiwana B 12 wa Clouds Fm walipokutana usiku Club.

Viongozi ni muhimu kuwa karibu na vijana wao.. Sasa kwani kuna ubaya gani hapo??
 

Attachments

  • 1401880098014.jpg
    1401880098014.jpg
    55.9 KB · Views: 117
Mbowe akiwa na watu mbali mbali walipokuwa wamekwenda kumpa Support mwanamuziki wa Tanzania Diamond.
 

Attachments

  • 1401880371994.jpg
    1401880371994.jpg
    50.5 KB · Views: 94
Zitto Kabwe na Jerry Silaa walikuwepo pia katika Club hiyo ambao wote walienda kumpa Support Diamond. Ambae amefanikiwa kuitangaza Tanzania Sehemu tofauti Duniani.

Huyo aliyeipa mgongo Camera ni Ambwene Yesaya ( AY )

Kwani kuna ubaya gani viongozi kuwaunga mkono vijana wao??
 

Attachments

  • 1401880607574.jpg
    1401880607574.jpg
    51.6 KB · Views: 105
Unajua rais kama dhamana ni tofauti na mtu binafsi na ndio maana leo hakuna anayefuatilia ziara za mfano Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi kwa maana walishalivua koti la urais.
Unataka kunishawishi kwamba B. Obama alifanya makosa kwa kutokufika Nairobi japo kwa dakika 45 maana alipokuwa tz alikuwa jirani kabisa na 'babu' zake!?
Na tuangalie tusije kujidanganya pale tunaposikia kuwa nchi kama Nigeria zinavuna pesa nyingi katika uchumi wao kutokana na wasanii. Tukidhania hivyo basi tujiulize ni ziara ngapi marais wa Nigeria walifanya Ulaya na USA kuwa 'promote' wasanii, wachezaji mpira nk. Na je kwa Nigeria, hao akina Chinua Achebe, Soyinka na manguli African writers (Literature) 'waliibuliwa' na ziara za marais wao!?
Naona najidiliana na mtu ambaye hajui nini diplomasia, uchumi, wala jiografia unarukiarukia tu kama panzi mara nyuma mara mbele mara unajipiga ukutani hauna mwelekeo. Wala hujui nafasi ya USA dunia
 
Chezea sembe wewe, huenda dogo kavusha viroba inabidi akampe promo, Liinchi limelaaniwa kila kukicha drugs, halafu mshikaji anasema anayo majina anamezea, Si huyuhuyu watu wanasema eti kipenzi wake wa kumzaa alitaka kunyongwa huko kwa wenyewe,then kipande cha nchi kikauzwa kwa mikataba 19 ya kichina ndani ya dk kadhaa ikiwa imeeandikwa kichina,mtu anasign hata lugha haijui, halafu makonde waliposhtukia wakalianzisha wamebaki wakiwa hawajui wafanye nini.Poor country,watanzania tungejielewa huyu hata asingemaliza muda wake.WanaJF naomba mfanye uchunguzi, si rahisi kwa mtu anayependa anasa na umalaya umkabidhi mamlaka akufanyie jambo la maana?Hebu jicheki ukoo wako ,then rafiki zako hal;afu malizia na wewe uuone ukweli.Nashauri watanzania TUJITAMBUE
 
Naona mkuu wa kaya kaomba laptop a-surf kidogo!!!!, Inafurahisha na inaudhi pia pale unapoangalia umakini wa mkuu wa nchi
 

Attachments

  • IMG-20140603-WA0000.jpg
    IMG-20140603-WA0000.jpg
    79.6 KB · Views: 84
rais wetu ni mtu wa kujituma sana yaani usiku na mchana, usa hadi oman kwa ajili ya kuwatafutia maisha bora watanzania kwa ujumla, kama hapa anavyoonekana akiwa busy kumtafutia diamond wasanii wa kupiga naye kolabo. Hapo yuko busy akichart na 50cent kama ataweza kumpa tafu kijana wetu mkali cause no matter what diamond is more important than staying back in the country to deal with some minor issues like escrow account or wasting his energy and time to address the issue of our new constitution or even wasting his valuable time thinking about the measures of tackling unemployment and corruption in our country cause at the end of the day his workaholics ministers like wasira, lukuvi, juma nkamia, sophia simba under the supervision of the commander himself mizengo pinda can fix all the minor problems in fixing the country while our dear president deal with more urgent and important issue of promoting diamond in the us and making diamonds career surpass even michae jackson.big mr president. View attachment 162380

you are sick.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom