johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,957
Siasa zina raha na karaha zake, nasoma hapa namna Iddi Simba na John Shibuda walivyokuwa na bifu kali la kugombea uongozi katika jumuiya ya wazazi CCM.
Tumshukuru Mungu siasa za zama hizi zimekuwa za kistaarabu japo kuna wachache bado wanadhani siasa ni uadui.
Wengine wanatumia ishara za majeneza kuonyesha level ya uadui ilipofikia, Johnthebaptist nadhani hii si sawa kwani hata wale watoto wa NDONDO cup hawafanyi dhihaka hizi.
Nawatakia dominika njema!
Tumshukuru Mungu siasa za zama hizi zimekuwa za kistaarabu japo kuna wachache bado wanadhani siasa ni uadui.
Wengine wanatumia ishara za majeneza kuonyesha level ya uadui ilipofikia, Johnthebaptist nadhani hii si sawa kwani hata wale watoto wa NDONDO cup hawafanyi dhihaka hizi.
Nawatakia dominika njema!