sijuikitu
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 286
- 12
Quote kutoka mwananchi:
"Mimi binafsi nashangaa kiongozi ambaye ni mbunge ni mfanyabiashara mkubwa mwenye biashara kubwa sana anapata wapi muda wa kufanyabiashara hiyo kama siyo kutumia madaraka yake katika kuendeleza biashara hizo?" Alihoji Sitta. Alisema kuwa wananchi wana macho na wanaona chama hakifai kutokana na viongozi kutumia madaraka kujinufaisha wenyewe na kwamba hiyo ndiyo inayochafua mazuri ya CCM.
"Mimi binafsi nashangaa kiongozi ambaye ni mbunge ni mfanyabiashara mkubwa mwenye biashara kubwa sana anapata wapi muda wa kufanyabiashara hiyo kama siyo kutumia madaraka yake katika kuendeleza biashara hizo?" Alihoji Sitta. Alisema kuwa wananchi wana macho na wanaona chama hakifai kutokana na viongozi kutumia madaraka kujinufaisha wenyewe na kwamba hiyo ndiyo inayochafua mazuri ya CCM.