Roho ya ndoto za kutibu magonjwa sugu imeendelea kutenda kazi baada ya bibi mwingine hii leo kujitokeza huko Mwanza. Habari hizi nimekuta zinafikia mwisho hapo WAPO FM.
Mmh,
Nilisikiliza TBC1 saa mbili usiku J'tano kuhusu Margareth yule wa Tabora eneo la Uzunguni, hat mkuu wa mkoa alikwenda kunywa kikombe na akaongea TBC1
Roho ya ndoto za kutibu magonjwa sugu imeendelea kutenda kazi baada ya bibi mwingine hii leo kujitokeza huko Mwanza. Habari hizi nimekuta zinafikia mwisho hapo WAPO FM.