Yes yes yes...ni kweli inaweza mkwamua mtu kabisa, I have seen watu ninao wafaham wakibadilika, the issue is pata nafasi ya kuelezwa...jinsi mfumo unavyofanya kazi, kwa njia ya one to one presentation, au kwenye mikutano.
Inalipa only kama na wewe upo serious katika ratiba zako ulizopanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.