Biashara za magari na vipato vyake

Biashara za magari na vipato vyake

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
21,854
Reaction score
26,091
Asalam aleykum wakurungwa,naomba kujuzwa je gari za aina huweza kuleta hesabu ya kiasi gani kwa kutwa!
#Tujuzane vyombo mbali mbali vya usafiri na hesabu zake kwa wale wakurungwa!
Screenshot_20250804-165057~2.jpg
 
Mkuu scania ka hii ikiwa na tela lake inapatikana kwa milion ngapi za kitanzania?
Hii ya 2015/2016 unapata kwa Tsh 90m kununua lenye Km chache likiwa G 460 kama hili
Kodi wanataka 34m.
Kusafirisha na vibali vya mipakani mpaka Tunduma Tsh 5m
Mafuta linatafuna 935lita mpaka Tunduma bei hazijatofautiana na huko..
Tela used la spring Tsh 30m na kodi Tsh 6m
Tela Jipya la Afrit ni Tsh 65m na kodi yake Tsh 14m.
Note gharama inaweza kupungua au kuongezeka kutoka na exchange rate ya siku hiyo maana Nchi zote unapita ukichanja kwa kadi..
Hapa tairi wanauza rand 3800 jipya kama utataka kununua zote unazidisha kwa bei hiyo super single la mbele wanauza rand 6300.
 
Hii ya 2015/2016 unapata kwa Tsh 90m kununua lenye Km chache likiwa G 460 kama hili
Kodi wanataka 34m.
Kusafirisha na vibali vya mipakani mpaka Tunduma Tsh 5m
Mafuta linatafuna 935lita mpaka Tunduma bei hazijatofautiana na huko..
Tela used la spring Tsh 30m na kodi Tsh 6m
Tela Jipya la Afrit ni Tsh 65m na kodi yake Tsh 14m.
Note gharama inaweza kupungua au kuongezeka kutoka na exchange rate ya siku hiyo maana Nchi zote unapita ukichanja kwa kadi..
Hapa tairi wanauza rand 3800 jipya kama utataka kununua zote unazidisha kwa bei hiyo super single la mbele wanauza rand 6300.
Asante kwa taarifa, niko interested sana na biashara ya malori ila uchumi haujakaa vizuri, ikitokea nikapata la mkopo niwe nalipia kwa awamu mpaka uishe itapendeza sana, yaani kadi ya gari ibaki kwa aliyenikopesha mpaka nimalize mkopo ndo nibadili umiliki liwe langu
 
Asante kwa taarifa, niko interested sana na biashara ya malori ila uchumi haujakaa vizuri, ikitokea nikapata la mkopo niwe nalipia kwa awamu mpaka uishe itapendeza sana, yaani kadi ya gari ibaki kwa aliyenikopesha mpaka nimalize mkopo ndo nibadili umiliki liwe langu
Kama unafanya kazi tunaweza tukapanga na bank ndio wakudhamini wao wana Elimu ya kukopesha na kudai mikopo mimi magari yapo ila pia naweza kukutafutia la bei nafuu ambalo deni lake litakua nafuu sio kama haya ya miaka ya karibuni magari yanaleta pesa hata hapo home hiyo kazi mwaka jana imeingiza pesa nyingi kuliko baadhi ya shughuli nyingi unatafuta R ya 2008/9 ambayo gharama za ununuzi siyo kubwa na usiunge unge la Uingereza utasema hii ni biashara kichaa kila trip gari ikishusha unaenda garage nunua SA hata kwa dealer yeyote sio mimi gari za huku ngumu sana.
 
Kama unafanya kazi tunaweza tukapanga na bank ndio wakudhamini wao wana Elimu ya kukopesha na kudai mikopo mimi magari yapo ila pia naweza kukutafutia la bei nafuu ambalo deni lake litakua nafuu sio kama haya ya miaka ya karibuni magari yanaleta pesa hata hapo home hiyo kazi mwaka jana imeingiza pesa nyingi kuliko baadhi ya shughuli nyingi unatafuta R ya 2008/9 ambayo gharama za ununuzi siyo kubwa na usiunge unge la Uingereza utasema hii ni biashara kichaa kila trip gari ikishusha unaenda garage nunua SA hata kwa dealer yeyote sio mimi gari za huku ngumu sana.
Nimekupata kiongozi, ntakucheki kwenye WhatsApp yako kesho mchana
 
Kuna siku ina pita kapa kabisa
I truly swear,hakuna biashara zinazokuweka sawa kimaisha kama biashara za magari,kweli kuna siku gari itakosa kazi kabisa but,never mind......!(Waarabu siyo wajinga),of cause wengi wanaziogopa sana!
 
Hizi semi,kutoka dar mpaka DRC,kwa fununu nilizo nazo hazikosi dollar 2500,baada ya kutoa taka taka zote,kwa maana ya gharama!
Ni biashara yenye hela sana sema uwekezaji wake ni mkubwa ndio maana wanafanya wachache leo nimekutana na Truck kadhaa nzuri bei ya kuokota hizi ndio za kubebea makontena kutoka bandarini ni Mguu wa jini Isuzu,Tata Novas pamoja na Volvo ya kitambo ni jiwe sana.
 
Back
Top Bottom