shikulaushinye
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 828
- 456
Mheshimiwa Rais wangu JPM, kwanza nikupe hongera kwa kazi nzuri unayoifanya na team yako ya mawaziri, me km mfanyabiashara kwa muda mrefu tumekuwa tukisuguana kuhusu matumizi ya mashine za EFD.
Wafanya biashara waliokwenye maeneo maalumu hawapaswi kuwa tu sehemu ya walipo kodi, lakini pia wafanya biashara ndogo ndogo maarufu km wamachinga nao wanaitia serikali hasara kwaani hawalipi kodo wala ushuru wowote zaidi ya kuzarisha takataka. Ili wafanyabiashara wafaidi kodi zao serikali haina budi kuliangalia hili kwaani nalo ni jibu.
Kama wanataka kufanya bishara watafutiwe maeneo maalum ili na wao walipe kodi lakini siyo kutandika biashara zao chini. mfano ukienda kando ya barabara ya mwenge, ubungo, kariakoo na nk utawakuta kwa wingi.
Serikalia inakosa mapato kwenye hii biashara holela.
Wafanya biashara waliokwenye maeneo maalumu hawapaswi kuwa tu sehemu ya walipo kodi, lakini pia wafanya biashara ndogo ndogo maarufu km wamachinga nao wanaitia serikali hasara kwaani hawalipi kodo wala ushuru wowote zaidi ya kuzarisha takataka. Ili wafanyabiashara wafaidi kodi zao serikali haina budi kuliangalia hili kwaani nalo ni jibu.
Kama wanataka kufanya bishara watafutiwe maeneo maalum ili na wao walipe kodi lakini siyo kutandika biashara zao chini. mfano ukienda kando ya barabara ya mwenge, ubungo, kariakoo na nk utawakuta kwa wingi.
Serikalia inakosa mapato kwenye hii biashara holela.