edwin4
JF-Expert Member
- Nov 27, 2016
- 287
- 216
Ndugu wana board
Mimi ni Mwalimu lakini mbali ya ualimu pia nafanya biashara ndogondogo na hasahasa kuuza vitu vya kike, kiukweli hela ninayo lipwa kwa mwezi, huku biasharani naipata baada ya two weeks na hiyo ni faida bila kujumlishia na hela ya mtaji.
Sasa wateja wangu wamekua wakihitaji vitenge vya Congo kwa muda mrefu sasa. Ninacho waomba ndugu zangu ni ushauri wa kimawazo kwa wajuzi wa hizi shughuli;-
1. Kwa wanaofuata mzigo Congo, bei ya jumla huko ikoje?
2. Je, naweza kuchukulia mzigo hapahapa Bongo? Chimbo liko wapi na bei zao za jumla zikoje?
Pia nakaribisha yeyote mwenye ushauri juu ya biashara ya vitenge bila kujalisha ni vya Congo, Burundi etc.
Karibuni kwa ushauri wataalamu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni Mwalimu lakini mbali ya ualimu pia nafanya biashara ndogondogo na hasahasa kuuza vitu vya kike, kiukweli hela ninayo lipwa kwa mwezi, huku biasharani naipata baada ya two weeks na hiyo ni faida bila kujumlishia na hela ya mtaji.
Sasa wateja wangu wamekua wakihitaji vitenge vya Congo kwa muda mrefu sasa. Ninacho waomba ndugu zangu ni ushauri wa kimawazo kwa wajuzi wa hizi shughuli;-
1. Kwa wanaofuata mzigo Congo, bei ya jumla huko ikoje?
2. Je, naweza kuchukulia mzigo hapahapa Bongo? Chimbo liko wapi na bei zao za jumla zikoje?
Pia nakaribisha yeyote mwenye ushauri juu ya biashara ya vitenge bila kujalisha ni vya Congo, Burundi etc.
Karibuni kwa ushauri wataalamu!!
Sent using Jamii Forums mobile app