Christina84
Member
- Aug 5, 2017
- 74
- 50
habari wapendwa,
nimeona mahali gari imenakshiwa kwa mapambo,
nikaipenda,kuulizia kwa watu nimeambiwa ndio inaitwa vinly print
sasa wakubwa embu nielezeni kwa watu mlioifanya hii business inalipa???
niwe na nini na nini???
kama shilingi ngapi nianze kama mtaji???
nimeona mahali gari imenakshiwa kwa mapambo,
nikaipenda,kuulizia kwa watu nimeambiwa ndio inaitwa vinly print
sasa wakubwa embu nielezeni kwa watu mlioifanya hii business inalipa???
niwe na nini na nini???
kama shilingi ngapi nianze kama mtaji???