Biashara ya viazi mviringo


Asante sana mkuu, nimekuelewa vyema ngoja nijikisanye ili niongeze mtaji japo nianze mdogo mdogo. Vip wapi ni bora zaidi kati ya mbeya na njombe kwa ubora wa viazi, bei na accessibility ya usafiri.
 
Mbeyaa ni vyema zaidi lakini vina msimu wake njombe ni kuanzia june adi december vinakuwa vimeishaa apo vinaanza mbeyaa kuanzia november adi may

Asante sana mkuu kwa msaada wako sasa nimepata pa kuanzia, for any case takutafuta tena maana natamani sana nifanikiwe kupitia biashara hiyo.
 
asante sana mkuu, nimekuelewa vyema ngoja nijikisanye ili niongeze mtaji japo nianze mdogo mdogo.
vp wapi ni bora zaidi kati ya mbeya na njombe kwa ubora wa viazi, bei na accessibility ya usafiri
Mkuu ni PM au nipigie kwnye 0753543236 tufanye hiyo biashara.
 
Hii ndiyo michango yenye tija!!!
 

Mkuu naomba nikutafute siku nikipata nafasi...naomba ni PM number yako..umetoa maelezo muhimu sana.
 
Bado unafanya hii biashara mkuu
 
Kwa wanaohitaji mashine za kumenyea viazi inapatikana sasa jijini dar kwa bei nafuu ya milioni 5.5 mashine uwezo wake ni kilo 300 kwa lisaa, usichelew zipo chache saana, na hazili nyama, zinatoa ganda tuu. Wapige kwa mhusika 075282714
Mkuu bado unafanya hii biashara
 
Asante mkuu
 
Mimi ni mkulima wa viaz huku mbeya kwa hyo lak 8 ni ndogo sana mkuu..embu fiki gunia la kiaz unanua kwa mkulima elf 50..gar inapakia gunia 100 kwa hyo hapo kwa hyo hela unanua gunia kama 16 hv..bado ujatoa hela ya kushonea..advance ya mwenye gar...karibu mkuu mbeya tunalima sana kiaz.
 
Sorry...hivi hapo mbeya mnalima viazi wilaya gani hasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…