jafarikyaka
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 378
- 269
----Mimi nimefanya hii biashara, naijua vizur sana ni biashara nzuri sana, nilisimama kwa muda kutokana na kubanwa na masomo nategemea kurudi kwenye hii biashara mwezi wa kumi mwaka huu, kwa laki 8 kweli ni ndogo mkuu atleast uwe na kama 3milion ndoo utaona faida ya hii biashara.
Kwani gari ya chini huwa n fuso yenye uwezo wa kubeba magunia 75 kujaza mzigo siyo pungufu ya 2.4m ni bora ufanye ivo kuchukua gari yako kuliko kushare maana itakugharimu sana kwenye usafirishaji.
Nakaribisha tuungane mkuu kama kuna swali waitaji kujua waweza kuuliza apa apa ntakujibi.
Soko lipo vizuri, kama unavyoona watu kila siku wanazidi kupenda chips na matumizi ya viazi yanaongezeka cha muhimu ni uchaguzi mzuri wa viazi kule shambani, hakikisha unachagua kiazi kizuri na kiwe kikubwa soko zuri ni Buguruni na Mabibo Ilala siyo wazuri sana.
Kuhusu usafiri kama unachukua mzigo Njombe kulee kuna shida kidogo ya usafiri lakini tofauti na Mbeya usafiri hausumbui sana maana semi tyler nyinyi zinatoka zambia kuja Dar zingine zinakuwa tupu soo deal kaa izo hawawezi kuacha.
Nataka safirisha viazi kutoka mbeya to tanga vipi kwa wanaoifahamu inalipa na gunia moja kwa tanga huwa ni shillingi ngapi??
Nataka safirisha viazi kutoka mbeya to tanga vipi kwa wanaoifahamu inalipa na gunia moja kwa tanga huwa ni shillingi ngapi??
Mkuu wewe upo wapi?.
Laki nane?
Nenda pale Soko la Ndizi ufanye physical observation. Ni biashara nzuri sana though nafkiri kwa hiyo laki 8 inaweza kuwa ndogo. Na fursa za mkopo hakuna.
Dawa ni kuichagua Ukawa ifikapo oktoba ili vijana tupate fursa bora zaidi ya kujiajiri na kuajiriwa kama anavyoahidi Lowassa.
Mimi nimefanya hii biashara, naijua vizur sana ni biashara nzuri sana, nilisimama kwa muda kutokana na kubanwa na masomo nategemea kurudi kwenye hii biashara mwezi wa kumi mwaka huu, kwa laki 8 kweli ni ndogo mkuu atleast uwe na kama 3milion ndoo utaona faida ya hii biashara
Kwani gari ya chini huwa n fuso yenye uwezo wa kubeba magunia 75 kujaza mzigo siyo pungufu ya 2.4m ni bora ufanye ivo kuchukua gari yako kuliko kushare maana itakugharimu sana kwenye usafirishaji
Nakaribisha tuungane mkuu kama kuna swali waitaji kujua waweza kuuliza apa apa ntakujibi
Mimi nimefanya hii biashara, naijua vizur sana ni biashara nzuri sana, nilisimama kwa muda kutokana na kubanwa na masomo nategemea kurudi kwenye hii biashara mwezi wa kumi mwaka huu, kwa laki 8 kweli ni ndogo mkuu atleast uwe na kama 3milion ndoo utaona faida ya hii biashara
Kwani gari ya chini huwa n fuso yenye uwezo wa kubeba magunia 75 kujaza mzigo siyo pungufu ya 2.4m ni bora ufanye ivo kuchukua gari yako kuliko kushare maana itakugharimu sana kwenye usafirishaji
Nakaribisha tuungane mkuu kama kuna swali waitaji kujua waweza kuuliza apa apa ntakujibi