boyson onlye
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 1,108
- 1,404
Km ww sio fundi au huna idea ya ufundi hata kidogo achana na hyo biashara. Narudia km unataka kumtegemea fundi afanye hayo yote achana nayo vingnevyo utakufa kwa stress.
La kufanya anza kujifunza ushonaji hata kwa miezi 6 hadi mwaka 1 tu uwe na ujuzi kidogo hapo angalau utaimudu.
Biashara ya kushona ina faida km utapata location nzuri na ukapata mshonaji mzuri.
Nb: Nmekushauri kwa sababu ndo biashara yangu ya kwnz kufungua baada ya kumaliza chuo nikaamua kuuza mashine. Nilkuwa sina ujuzi wowote km sikufa kwa stress ila ilinipa faida na kuchungulia fursa nyngne.
Naungana na black fire Kama wewe sio fundi na hauna idea ya ufundi usiingie katika hii biashara utakuja kugeuka bubu.Habarini Wakuu
Poleni na majukumu
Niko mbele yenu leo ninaombi moja kwenu nimekuwa nikiwaza sana kuhusu hii biashara ya ushonaji nguo kwa wiki sasa
Nimefanya utafiti kidogo mtaani na kuuliza uliza nikaona ni vyema nije kupewa chochote mahali hapa kuhusu hii biashara
Matatajio ya mtaji ni Mil 2 hadi 3m
Mwenye uzoefu na hii shughuli naomba a niambie je kwa kiasi hicho naweza kuanzia? Vitu gani vya kuzingatia? Changamoto za biashara hii? Wafanyakazi wanalipwaje? Napataje tender? Machine zinauzwaje? Na zinatakiwa machine za aina ngapi kwa kuanzia? Asante
Nb
Mimi siyo fundi nitakuwa nasimamia tu mafundi?
Nakaribisha inbox kwa wale watakaotaka kunishauli private
Changamoto ya biashara hii ni mafundi. Ndo maana nikakushauri ni vzuri ukapata idea kidogo ya kushona. Unaweza ukawa na kazi za wateja na zinatakiwa kuchukuliwa leo mchana ila mpk saa nne fundi hajafka kazini. Hii kibiashara sio nzuri. Utakuta unazngua na wateja kwa sababu ya fundi. Changamoto kubwa sana ni mafundiMkuu ulikutana na changamoto gani?
Uko sahihi kabsa. Mm nimewahi kufanya hii biashara na sikuwa na idea yoyote ya ufundi. Ila ni biashara iliyonipa mwanga na kiukweli inalipa. Ila changamoto zake ni km hzo. Km huna ujuzi wowote wa ufundi lazma uutane na tabu kubwaNaungana na black fire Kama wewe sio fundi na hauna idea ya ufundi usiingie katika hii biashara utakuja kugeuka bubu.
Mafundi sio watu wazuri tena Kama wakijua wewe huna weledi na hiyo kazi
Naongea kwa uzoefu kwani mke wangu ni fundi.
Karibu kwenye fani, ni biashara nzuri. Usihofu kuhusu mafundi, ni changamoto tu kama changamoto za biashara nyingine. Fundi analipwa kwa kazi. Huo mtaji unatosha kabisa kuanzia.