aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,224
Wakuu naomba kupata hali ilivyo katika biashara ya kuuza unga wa mahindi.
1.Hasara na faida zake.
2.Changamoto zake
3.soko
4.Aina ya mahindi mazuri kununua.
5.Upatikanaji wa mashine za kukoboa na kusaga zenye ubora.
Natanguliza ahsante nyingi.
1.Hasara na faida zake.
2.Changamoto zake
3.soko
4.Aina ya mahindi mazuri kununua.
5.Upatikanaji wa mashine za kukoboa na kusaga zenye ubora.
Natanguliza ahsante nyingi.