HATI ya KIFO
Nimekuwa mbali na safu hii kwa muda, baada ya safari ya mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma, kwa sasa nipo Mbamba Bay kandokando ya ziwa Nyasa wilayani Mbinga. Yapo mambo yanayoonekana kuwa ni mambo ya heri, yameanza kujiinua kwa nguvu kubwa na bado yanazidi kujiinua ndani ya taifa la Tanzania.
Katika safu zangu ya nyuma niliweka maelezo kama yanavyosomeka hapo juu, kuhusu mambo yaliyolikuta taifa la Tanzania katika ulimwengu usioonekana, leo nitazungumzia baadhi ya mambo na harakati kubwa za kuzimu, wakijaribu kujinasua na anguko lililowapata.
Utawala ulioliongoza taifa ulisambaratishwa na kufutwa kabisa katika ulimwengu usiooneka, mwishoni mwa mwaka jana 2010, baada ya kufanya makufuru makubwa. Kusambaratishwa kwa utawala wa zamani wa dunia ya Tanzania, kumewapa taabu kubwa mamlaka za kuzimu ambazo zimejipanga upya kukabiliana na hali hiyo.
Kwa kuanzia kuzimu wamepandisha duniani majini mengi ya mlipuko, majini haya huwaingia wanaadamu na wakishawaingia hufanya kile walichoamriwa na kuzimu kukifanya wakiwa ndani ya watu hawa. Kujenga utawala ulioanguka katika ulimwengu usioonekana damu ya binadamu ni malighafi muhimu inayohitajika na ni lazima ipatikane kwa namna yoyote. Maazimio ya vikao vya kuzimu ni kupata mapipa mengi yaliyajaa damu za binadamu ili kazi ifanikiwe, na namna ya kuipata ni kusababisha ajali sehemu mbalimbali za nchi yetu, kazi hii kwa sasa inaendelea kufanyika kwa nguvu.
Hatua ya pili ni kuharakisha vifo vya watu kwa kuwauzia hati ya kifo kwa bei nafuu, vikao vilitambua matatizo ya maradhi aina mbalimbali waliyo nayo Watanzania wengi, na wengi wao wamekuwa siyo rahisi hata kidogo kuwatumia mawakala wao waliopo duniani wakijulikana kama waganga wa kienyeji. Hivyo haya majini ya mlipuko yalielekezwa yawaingie viongozi wa dini ya Kikristo, ambao walikuwa na mahusiano na kuzimu, kwa kufanya hivyo watu wengi wasiokubali huduma za waganga wa kienyeji watakamatika kirahisi, majini haya yakiwa ndani ya watumishi hawa huwatokea kwenye ndoto na kupewa miongozo jinsi ya kutenda kazi. Kimsingi kinachofanyika majini haya ndiyo yenyewe yanagawa hizo dawa zilizotoka kuzimu kwa kutumia mikono ya hawa wanadamu. Utabibu huu wa kuzimu unaonekana kuleta ahueni kwa baadhi ya watu, lakini ukweli ni kuwa KILA mtu aliyenyweshwa kikombe na majini haya, mambo makubwa na ya hatari sana yako mbele yake.
Nilizungumzia aibu watakayokuwa wanaipata watawala waliokataliwa, kwani kila jambo watakalolifanya kuwahadaa wananchi wataishia kwenye aibu, tumeshuhudia madudu yao waliyoyafanya katika harakati zao za kuibadili katiba ya Tanzania.
Ooh Mungu wangu, sasa Majimoto, hii hati ya kifo lini inatekelezwa, au lini watu wanaanza kufa, maana hadi naogopa, kila kaya kutakuwa na vifo si chini ya vitatuWanakimbilia hati ya kifo inayouzwa kwa gharama ya shilingi mia tano.
mjm kutokana na haya unayoelezea, ina maana babu aaelewa hicho ambacho kinafanyikka, ama ndiyo naye amefanyiwa ile high Tech science kutoka ulimwengu ule.
Ni wakala wa kuzimu, anajua anachofanya, usiku wa manane huletewa dawa kutoka kuzimu anazochanganya na mizizi kwa kunywesha watu siku inayofuata.
Majini ni moja ya viumbe ambao hawaonekani kwa macho katika ulimwengu unaoonekana kuna aina kuu mbili za majini, yapo majini yaliyovurumishwa kutoka mbinguni baada ya kuasi, na yapo majini yanayotengenezwa kwa kufuata mila za Kiarabu, majini yaliyo vyurumishwa toka mbinguni yanamjua Mungu na siku zote hawasogelei nyumba za ibada, kwani wanaujua moto wake, majini ya kutengeneza hayaelewi chochote na huingia kwenye nyumba za ibada wenyewe kwa kutumwa au wakiwa ndani ya mwili wa mtu. Ndiyo maana yanapokemewa, hupiga kelele za kuunguzwa na moto.
Ili haya majini nayo yaweze kufanya ibada yao, Hutawanyika kwenye maeneo au nyumba zenye kawaida ya ibada na kuwalaza wahusika usingizi mzito, kwani kwenye ulimwengu usioonekana neno la Mungu ni moto makali sana na mara nyingi wamekuwa wakiumizwa vibaya sana. Mara kwa mara wamekuwa wakikosa kufanya ibada kwa kuwa huwa wamejeruhiwa, na ni najisi kufanya ibada ukiwa na majeraha ya damu.
Ni wakala wa kuzimu, anajua anachofanya, usiku wa manane huletewa dawa kutoka kuzimu anazochanganya na mizizi kwa kunywesha watu siku inayofuata.
Ni wakala wa kuzimu, anajua anachofanya, usiku wa manane huletewa dawa kutoka kuzimu anazochanganya na mizizi kwa kunywesha watu siku inayofuata.
Ooh Mungu wangu, sasa Majimoto, hii hati ya kifo lini inatekelezwa, au lini watu wanaanza kufa, maana hadi naogopa, kila kaya kutakuwa na vifo si chini ya vitatu
HATI ya KIFO
Nimekuwa mbali na safu hii kwa muda, baada ya safari ya mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma, kwa sasa nipo Mbamba Bay kandokando ya ziwa Nyasa wilayani Mbinga. Yapo mambo yanayoonekana kuwa ni mambo ya heri, yameanza kujiinua kwa nguvu kubwa na bado yanazidi kujiinua ndani ya taifa la Tanzania.
Katika safu zangu ya nyuma niliweka maelezo kama yanavyosomeka hapo juu, kuhusu mambo yaliyolikuta taifa la Tanzania katika ulimwengu usioonekana, leo nitazungumzia baadhi ya mambo na harakati kubwa za kuzimu, wakijaribu kujinasua na anguko lililowapata.
Utawala ulioliongoza taifa ulisambaratishwa na kufutwa kabisa katika ulimwengu usiooneka, mwishoni mwa mwaka jana 2010, baada ya kufanya makufuru makubwa. Kusambaratishwa kwa utawala wa zamani wa dunia ya Tanzania, kumewapa taabu kubwa mamlaka za kuzimu ambazo zimejipanga upya kukabiliana na hali hiyo.
Kwa kuanzia kuzimu wamepandisha duniani majini mengi ya mlipuko, majini haya huwaingia wanaadamu na wakishawaingia hufanya kile walichoamriwa na kuzimu kukifanya wakiwa ndani ya watu hawa. Kujenga utawala ulioanguka katika ulimwengu usioonekana damu ya binadamu ni malighafi muhimu inayohitajika na ni lazima ipatikane kwa namna yoyote. Maazimio ya vikao vya kuzimu ni kupata mapipa mengi yaliyajaa damu za binadamu ili kazi ifanikiwe, na namna ya kuipata ni kusababisha ajali sehemu mbalimbali za nchi yetu, kazi hii kwa sasa inaendelea kufanyika kwa nguvu.
Hatua ya pili ni kuharakisha vifo vya watu kwa kuwauzia hati ya kifo kwa bei nafuu, vikao vilitambua matatizo ya maradhi aina mbalimbali waliyo nayo Watanzania wengi, na wengi wao wamekuwa siyo rahisi hata kidogo kuwatumia mawakala wao waliopo duniani wakijulikana kama waganga wa kienyeji. Hivyo haya majini ya mlipuko yalielekezwa yawaingie viongozi wa dini ya Kikristo, ambao walikuwa na mahusiano na kuzimu, kwa kufanya hivyo watu wengi wasiokubali huduma za waganga wa kienyeji watakamatika kirahisi, majini haya yakiwa ndani ya watumishi hawa huwatokea kwenye ndoto na kupewa miongozo jinsi ya kutenda kazi. Kimsingi kinachofanyika majini haya ndiyo yenyewe yanagawa hizo dawa zilizotoka kuzimu kwa kutumia mikono ya hawa wanadamu. Utabibu huu wa kuzimu unaonekana kuleta ahueni kwa baadhi ya watu, lakini ukweli ni kuwa KILA mtu aliyenyweshwa kikombe na majini haya, mambo makubwa na ya hatari sana yako mbele yake.
Nilizungumzia aibu watakayokuwa wanaipata watawala waliokataliwa, kwani kila jambo watakalolifanya kuwahadaa wananchi wataishia kwenye aibu, tumeshuhudia madudu yao waliyoyafanya katika harakati zao za kuibadili katiba ya Tanzania.
HATI ya KIFO
Nimekuwa mbali na safu hii kwa muda, baada ya safari ya mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma, kwa sasa nipo Mbamba Bay kandokando ya ziwa Nyasa wilayani Mbinga. Yapo mambo yanayoonekana kuwa ni mambo ya heri, yameanza kujiinua kwa nguvu kubwa na bado yanazidi kujiinua ndani ya taifa la Tanzania.
Katika safu zangu ya nyuma niliweka maelezo kama yanavyosomeka hapo juu, kuhusu mambo yaliyolikuta taifa la Tanzania katika ulimwengu usioonekana, leo nitazungumzia baadhi ya mambo na harakati kubwa za kuzimu, wakijaribu kujinasua na anguko lililowapata.
Utawala ulioliongoza taifa ulisambaratishwa na kufutwa kabisa katika ulimwengu usiooneka, mwishoni mwa mwaka jana 2010, baada ya kufanya makufuru makubwa. Kusambaratishwa kwa utawala wa zamani wa dunia ya Tanzania, kumewapa taabu kubwa mamlaka za kuzimu ambazo zimejipanga upya kukabiliana na hali hiyo.
Kwa kuanzia kuzimu wamepandisha duniani majini mengi ya mlipuko, majini haya huwaingia wanaadamu na wakishawaingia hufanya kile walichoamriwa na kuzimu kukifanya wakiwa ndani ya watu hawa. Kujenga utawala ulioanguka katika ulimwengu usioonekana damu ya binadamu ni malighafi muhimu inayohitajika na ni lazima ipatikane kwa namna yoyote. Maazimio ya vikao vya kuzimu ni kupata mapipa mengi yaliyajaa damu za binadamu ili kazi ifanikiwe, na namna ya kuipata ni kusababisha ajali sehemu mbalimbali za nchi yetu, kazi hii kwa sasa inaendelea kufanyika kwa nguvu.
Hatua ya pili ni kuharakisha vifo vya watu kwa kuwauzia hati ya kifo kwa bei nafuu, vikao vilitambua matatizo ya maradhi aina mbalimbali waliyo nayo Watanzania wengi, na wengi wao wamekuwa siyo rahisi hata kidogo kuwatumia mawakala wao waliopo duniani wakijulikana kama waganga wa kienyeji. Hivyo haya majini ya mlipuko yalielekezwa yawaingie viongozi wa dini ya Kikristo, ambao walikuwa na mahusiano na kuzimu, kwa kufanya hivyo watu wengi wasiokubali huduma za waganga wa kienyeji watakamatika kirahisi, majini haya yakiwa ndani ya watumishi hawa huwatokea kwenye ndoto na kupewa miongozo jinsi ya kutenda kazi. Kimsingi kinachofanyika majini haya ndiyo yenyewe yanagawa hizo dawa zilizotoka kuzimu kwa kutumia mikono ya hawa wanadamu. Utabibu huu wa kuzimu unaonekana kuleta ahueni kwa baadhi ya watu, lakini ukweli ni kuwa KILA mtu aliyenyweshwa kikombe na majini haya, mambo makubwa na ya hatari sana yako mbele yake.
Nilizungumzia aibu watakayokuwa wanaipata watawala waliokataliwa, kwani kila jambo watakalolifanya kuwahadaa wananchi wataishia kwenye aibu, tumeshuhudia madudu yao waliyoyafanya katika harakati zao za kuibadili katiba ya Tanzania.
Naona hii thread ni ya kureply kwa quote. Majimoto kwa kweli!!! Mbona wanaopaka kikombe wanapata nafuu? Au ni kwa muda tuu?Ni wakala wa kuzimu, anajua anachofanya, usiku wa manane huletewa dawa kutoka kuzimu anazochanganya na mizizi kwa kunywesha watu siku inayofuata.